Hivi Sanchoka na Mama yake, kuna anayewaelewa na hizi picha zao?

Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
ZEGEMBE la Mama mimi huku hoii. Maza huyo ana noah yake anakujaga dukani kununua mchele wa sherehe nahisi kama ni CATERER hiv, zinga la Trako mamaaeh
 
Alikutwa na madawa ya kulevya huyu dogo last year sijui kesi illiishia wapi

utegee nini mkuu jengine, Ili uwe na uhakika wakula mizigo kama hiyo kwa uhakika na utalivu ni lazima uwe na dili kama hizo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…