Hivi Sanchoka na Mama yake, kuna anayewaelewa na hizi picha zao?

Hivi Sanchoka na Mama yake, kuna anayewaelewa na hizi picha zao?

Ndo katika hiyo idadi wa waliokataliwa ndo mm nimoo ila sijawahi kuwa muoga, labda nilitumia njia ambazo siyo sahihi kwa wakati ambao haukuwa sahihi. Namuahidi mwanae bado ntarudi tena
Mkuu usikate tamaa mtokee zaidi na zaidi

Wamama kama hao ukiwapat dah

Ova
 
Haina makombo au sio? Yaani kama sahani unalia chakula inaoshwa anapakuliwa mwingine[emoji15][emoji15].
Nimekuwa mnyonge.
Tulia mkuu ushachelewa ukilalamika sikupi kabisa so kuwa mpole tu🙂🙂
 
Back
Top Bottom