Hivi sasa hivi kuna timu ya kuifunga arsenal kwenye uefa

Hivi sasa hivi kuna timu ya kuifunga arsenal kwenye uefa

Nimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Tangu ulivyozaliwa umewahi kuskia Aaassno imeshinda champions league? Umeshaskia champions, hujaelewa nini cha ziada??
 
Nimejiuliza sana sijapata jibu hivi Kwa Sasa hivi Kuna timu ya kuifunga hii arsenal ya Sasa maana naona Kila mtu anachezea kichapo arsenal inaenda kubeba ubingwa wa uefa na Kwa sababu Kwa uwezo wanaoonesha uwanjani ni hatari sana
Arsenal huanza kwa mbio za nguri na kumaliza kwa mbio konokono akiwa hoi.
 
Back
Top Bottom