Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukar

Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukar

Wangewapao options,ukiwa unataka yenye sukari ujiue na kisukari then choice is yours,

Ukweli masukali sio soda tuu

Makeki
Majuice
Vitumbuwa baadhi vinakuwa na Sukari sana
Kona za kulamba sukari zipo maeneo mengi sana,sio soda tu
 
Kwanini maziwa mgando na sio siwa fresh!
Toa sababu za msingi
Achana na soda mkuu sio nzuri kunywa maji, juice fresh, recipes za matunda Kama matikimaji,kunywa maziwa mgando..
Achana na soda kabisa kwani usilolijua Ni sawa na usiku wa giza
 
Achana na soda mkuu sio nzuri kunywa maji, juice fresh, recipes za matunda Kama matikimaji,kunywa maziwa mgando..
Achana na soda kabisa kwani usilolijua Ni sawa na usiku wa giza
Dr jenebi daktari bingwa wa taasisi ya jakaya kikwete kasema juice ni hatari kwa afya zetu na zinatuua sana sababu zina fluctose,labda huo mtindi unaweza kuwa salama
 
Kwanini maziwa mgando na sio siwa fresh!
Toa sababu za msingi

Aliyesema juice ya matunda fresh haswa ndio jibu sahihi mambo ya lactose....suclose, galactose nk wanajuwa watu wa biology kidogo naanza kusahau ......kuna aina ya mfumo wa sugar sio tatizo na aina zingine ni tatizo
 
Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?

Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.

Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.

Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
Wenzako wameachana na sukari muda mrefu sasa, wewe bado unaulizia sukari??
 
Nilinunua Fanta bila kusoma kizibo.
Nilishangaa sana, sikuweza hata kuimaliza.
 
Back
Top Bottom