Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukar

Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukar

Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?

Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.

Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.

Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
Hakuna Soda isiyokua na Sukari... Tambua hilo
 
Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?

Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.

Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.

Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
Yana sukari kibao hayo ma zero!
Jaribu uonje, hiyo zero ni porojo tu.
Kwani kuna mtu atawashitaki kwa udanganyifu? Hakuna anayejali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na soda mkuu sio nzuri kunywa maji, juice fresh, recipes za matunda Kama matikimaji,kunywa maziwa mgando..
Achana na soda kabisa kwani usilolijua Ni sawa na usiku wa giza
unaacha kunywa soda kuogopa sukari,halafu unaenda kufa kizembe kwenye kukanyaga mafuta ya mwamposa si ufala huo.
 
Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?

Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.

Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.

Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
Unawalaumu kwa kukupunguzia sumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti usinywe soda ina sumu na madhara kwa mwili.. Hivi karne hii kipi unakula au kunywa kisicho na madhara? Tuko karne ya 21 na kwa wakazi wengi wa mijini tunatumia bidhaa za viwandani ambazo nyingi zina sumu so labda tufunge virago twende mistuni tukaishi maisha ya kihadzabe kula matunda na mizizi ndo tutaziepuka hizi sumu.. Ila cha kushangaza hata hawa wahadzabe wasiokunywa soda wala bidhaa yoyote ya kiwandani hawaishi milele bado tu wanakufa
 
Back
Top Bottom