Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Mimi sasa hivi nimehamia Bitter Lemon, nainywa taratibuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonge la soda. Tatizo availability tu.Mimi sasa hivi nimehamia Bitter Lemon, nainywa taratibuuu
Bonge la soda. Tatizo availability tu.
Tamu sana ile. Kale kauchungu na ile sukari kinatengeza ladha tamu sana.Watu hawaiwezi ile, kama hulambi limao ile hunywi, naipenda sana sahivi
Shida nnKhaaaa
Khaaaa
Sukari ya nini? Sukari ni sumu.hata hizo soda zenye sukari sikuhizi wanabania,sukari kwa mbaliiii,labda wanapunguza gharama za uzalishaji
Unaacha kula sukari unapinduka na New Force unakufa. Si bora ule sukari tu.Sukari ya nini? Sukari ni sumu.
Sukari ya nini? Sukari ni sumu.
Mkikosa kabisa yenye sukari mkanunue sukari yenyewe mlambeWanakera mimi leo imenibidi ninyewe supaleta. Maana mtaa mzma spleta ndyo yenye sukar
Hakuna Soda isiyokua na Sukari... Tambua hiloHuu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?
Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.
Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.
Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
Wabongo wavivu sana wa mazoeziFanya mazoezi sana,kula utakacho.
Yana sukari kibao hayo ma zero!Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?
Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.
Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.
Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
unaacha kunywa soda kuogopa sukari,halafu unaenda kufa kizembe kwenye kukanyaga mafuta ya mwamposa si ufala huo.Achana na soda mkuu sio nzuri kunywa maji, juice fresh, recipes za matunda Kama matikimaji,kunywa maziwa mgando..
Achana na soda kabisa kwani usilolijua Ni sawa na usiku wa giza
Unawalaumu kwa kukupunguzia sumu?Huu ni wizi kabisa mchana kweupe. Hivi sasa madukani soda za cocacola zenye sukari zimekuwa za kutafta kwa tochi. Zimejaa tu soda zisizokuwa na sukari. Yani nitoe jero yangu nikanywe ma chemicals yasiyokuwa hata na radha. Mnafikiri kila mtu mgonjwa wa kisukari?
Ni sawa na kumuuzia mtu chai isiyokuwa na sukari.
Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi, sio kwa kuuwa soko lenu kwa kujaza masoda yasiyokuwa na radha.
Mkiendelea hivi tutahamia pepsi alafu ayo masoda yenu mtajunywa wenyewe.
😀😆 hii nyundo ya utosiunaacha kunywa soda kuogopa sukari,halafu unaenda kufa kizembe kwenye kukanyaga mafuta ya mwamposa si ufala huo.
Sukari itumikayo kiwandani katika uzalishaji wa vinyaji baridi, ikiwemo soda, ni tofauti na sukari hii ya kawaida tunayonunua kwa mangi, madhara yake ni makubwa.Hata kama sukari imepanda bei au ndyo mmepandishiwa kodi