mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nasikia tiktok kuna wanawake mabint wao wanakatika kuanzia asubuhi mpaka usiku 24/7 ndy shuguli yao 😄Yani ni aibu...naonaga huko tiktok yani sidhani kama wanavaa yupi...
Na wanatambulika kama wasanii
Basi wana inspire vitoto vidogo na wao wanataka kuwa kama wao
Ova