Nasikia tiktok kuna wanawake mabint wao wanakatika kuanzia asubuhi mpaka usiku 24/7 ndy shuguli yao 😄Yani ni aibu...naonaga huko tiktok yani sidhani kama wanavaa yupi...
Acha tuu kaka...dunia ya kwenye mitandao ni mbaya mnoo natamani wtt wangu wasije wakashika simu ila ndio haiwezekani...kila kitu kipo yani kila kituu ni utashi tuu wa mtu aangalie nini..daah nawaonaga hao mabinti...Nasikia tiktok kuna wanawake mabint wao wanakatika kuanzia asubuhi mpaka usiku 24/7 ndy shuguli yao 😄
Na wanatambulika kama wasanii
Basi wana inspire vitoto vidogo na wao wanataka kuwa kama wao
Ova
Hatari sana,maana sahv watoto wanakuwa inspired na watu wanaofanya mambo takataka tuAcha tuu kaka...dunia ya kwenye mitandao ni mbaya mnoo natamani wtt wangu wasije wakashika simu ila ndio haiwezekani...kila kitu kipo yani kila kituu ni utashi tuu wa mtu aangalie nini..daah nawaonaga hao mabinti...
Huna akiliUna waonea wivu mzee aya vaa na ww kibwebwe ukazicheze hizo ngoma
Wanatakiwa kutimiza majukumu Yao sasa. Vipi maoni yako unaona ni sawa mkuu?Zinachezwa hadharani huku watu wote wakishuhudia au zinachezwa ndani!?
Kama ni hadharani huko mitaani, wakuu wa kamati za ulinzi na usalama za mitaa hawatimizi majukumu yao.
Asante kwa kuchangiaHayo ni mambo binafsi serikali Ina wajibu wakushughulika na Yale matatizo makubwa zaidi Kama ukosefu wa ajira,gharama za matibabu,ugumu wa maisha hayo mambo ya kulinda maadili kwenye michezo ya baikoko yashughulikiwe na watendaji wa kata na wajumbe nyumba kumi
Ajabu serikali inaacha watu wanacheza uchi mitaaniMwanaume rijali kuangalia zile ngoma zao ni mateso matupu hakya nani.
Wenye nazo wataweka Mimi Sina japo sishauri maana ni kama tutakua tuna ipromote hiyo michezo Yao ya laana.Bila kavideo ka ushahidi hii ni chai tu
AiseeUlizoona wewe Cha mtoto,zipo siku hizi baikoko watu wanakulan kabisa na sio kucheza uchi pekee,mpaka kulana mtandao pedwa kabisa
Asante umemtag labda atasoma ujumbe huu na kuifanyia kazi hasaktaa ya temeke huko jamij inaangamia
Inasikitisha tunawafunza Nini watoto wadogoYani ni aibu...naonaga huko tiktok yani sidhani kama wanavaa yupi...
Awe kaleta mwarabu , msomali au mzungu hiyo ni kinyume na maadili yetu serikali ipige marufuku.Mkuu we umeanza kuyaona leo?
Ushenzi huo uliletwa na Mwarabu!
Hautofautiani na vigodoro!
Aise ningekua kiongozi wa serikali eneo hilo wangenitambua huyo DC wa temeke ni nani?Temeke, Tandika, Buza na Mbagala kuna vigoma wanaviita kibao kata na full laana.
Wenyewe wanakwambia radhi inamwagwa nje njeeee!!!
Mama mkanye mwanao.
Wote màpuñguani tuu, mnaoangalia hao wanaocheza na wanaocheza wote punguani wahed.Sijui ni Mimi mwenyewe naona au hata nyie watanzania wenzangu.naona hii michezo ya wanawake hasa mabinti wadogo wadogo kucheza Ngoma za Uchi maarufu kama Baikoko mitaani hasa kwa Jiji la daresalam ikizidi kukuwa kwa kasi .
Mkuu wa mkoa yupo , Wakuu wa wilaya wapo na viongozi wote wa serikali wapo wanaangalia.
Hivi ni maadili gani tunaifunza jamii yetu? Naomba serikali kudhibiti hii michezo huu ni upunguwani kabisa kama siyo ufirauni unataka kuzoeleka katika jamii yetu. Inanikera sana hii tabia. Mh waziri muhusika naomba ushughulikie hili suala ASAP
Chukua simu yakoZinachezwa hadharani huku watu wote wakishuhudia au zinachezwa ndani!?
Kama ni hadharani huko mitaani, wakuu wa kamati za ulinzi na usalama za mitaa hawatimizi majukumu yao.