Hivi serikali iko serious na vita ya ushoga ama inatafuta kiki za kisiasa tu?

Hivi serikali iko serious na vita ya ushoga ama inatafuta kiki za kisiasa tu?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Ndugu watanzania jambo lolote lililoharamishwa nchi hii huwa limetungiwa sheria kali. Na yeyote atakayelishabikia ama kulitenda jambo hilo huangukia kwenye mikono ya sheria. Si mnaona mimea ya bangi inavyokatwa na wakulima wake wanavyokamatwa? Si mnaona wapika gongo na wanywa gongo wanavyokamatwa?

Sasa tuulizane, kuna sheria gani iliyotungwa inayopinga ushoga na mashoga nchi hii? Hata hiyo katiba ambayo ndiyo mama wa sheria zote nchini, imetamka kwamba inaheshimu faragha za watu.

Haya, huko mitaani kwetu hakuna mashoga? Mpaka bungeni wapo, na wanajulikana kwa majina. Ushasikia wamekamatwa? Kuna hoteli jijini DSM imepewa mpk barua ya pongezi kwa kufanya mashoga waishi vizuri. Umesikia serikali ama vyombo vya dola vikipanu mdomo na kutema cheche? Kimyaaa! Kana kwamba hakuna serikali wala vyombo vya dola.

Halafu hii vita ya ushoga tutaiweza na njaa zetu hizi? Anaye-promote ushoga ndiyo huyo huyo anayekufahili bajeti yako. Utaweza kumpinga kwenye jambo lake? Ni sawa na tajiri ambaye ni jirani yako, kila kitu anakusaidia, siku akimtaka mkeo atashindwa kumpata?

Hii vita hatuiwezi, ndiyo maana serikali imeufyata hata kutunga sheria kali za kuharamisha ushoga . Na hata mashoga wanatamba mitaani na sehemu za starehe. Hakuna anayethubutu kuwakamata.

K1apuya Foundation isitumike kama bangusilo (chambio) ili kuwahadaa wananchi kuwa iko serious na vita dhidi ya ushoga. Itungwe sheria na tuone mashoga wakianza kukamatwa.


Naomba kuwasilisha!
 
Hakuna aliyetayari kupigana hiyo vita. Hivi unafahamu kuwa watu wote wanaofanya kazi mashirika ya kimataifa wanakubali hayo maswala?, na hilo ni sharti.

Sasa akili kumkichwa, hao ni wafanyakazi tu vipi watawala na viongozi?.

Asubuhi njema.
 
Hakuna aliyetayari kupigana hiyo vita. Hivi unafahamu kuwa watu wote wanaofanya kazi mashirika ya kimataifa wanakubali hayo maswala?, na hilo ni sharti.

Sasa akili kumkichwa, hao ni wafanyakazi tu vipi watawala na viongozi?.

Asubuhi njema.
Duuh! Hatari na nusu.
 
Ndugu watanzania jambo lolote lililoharamishwa nchi hii huwa limetungiwa sheria kali. Na yeyote atakayelishabikia ama kulitenda jambo hilo huangukia kwenye mikono ya sheria. Si mnaona mimea ya bangi inavyokatwa na wakulima wake wanavyokamatwa? Si mnaona wapika gongo na wanywa gongo wanavyokamatwa?

Sasa tuulizane, kuna sheria gani iliyotungwa inayopinga ushoga na mashoga nchi hii? Hata hiyo katiba ambayo ndiyo mama wa sheria zote nchini, imetamka kwamba inaheshimu faragha za watu.

Haya, huko mitaani kwetu hakuna mashoga? Mpaka bungeni wapo, na wanajulikana kwa majina. Ushasikia wamekamatwa? Kuna hoteli jijini DSM imepewa mpk barua ya pongezi kwa kufanya mashoga waishi vizuri. Umesikia serikali ama vyombo vya dola vikipanu mdomo na kutema cheche? Kimyaaa! Kana kwamba hakuna serikali wala vyombo vya dola.

Halafu hii vita ya ushoga tutaiweza na njaa zetu hizi? Anaye-promote ushoga ndiyo huyo huyo anayekufahili bajeti yako. Utaweza kumpinga kwenye jambo lake? Ni sawa na tajiri ambaye ni jirani yako, kila kitu anakusaidia, siku akimtaka mkeo atashindwa kumpata?

Hii vita hatuiwezi, ndiyo maana serikali imeufyata hata kutunga sheria kali za kuharamisha ushoga . Na hata mashoga wanatamba mitaani na sehemu za starehe. Hakuna anayethubutu kuwakamata.

K1apuya Foundation isitumike kama bangusilo (chambio) ili kuwahadaa wananchi kuwa iko serious na vita dhidi ya ushoga. Itungwe sheria na tuone mashoga wakianza kukamatwa.


Naomba kuwasilisha!
serikali ina mambo ya muhimu zaidi kuliko kufuatilia mambo binafsi
 
Ndugu watanzania jambo lolote lililoharamishwa nchi hii huwa limetungiwa sheria kali. Na yeyote atakayelishabikia ama kulitenda jambo hilo huangukia kwenye mikono ya sheria. Si mnaona mimea ya bangi inavyokatwa na wakulima wake wanavyokamatwa? Si mnaona wapika gongo na wanywa gongo wanavyokamatwa?

Sasa tuulizane, kuna sheria gani iliyotungwa inayopinga ushoga na mashoga nchi hii? Hata hiyo katiba ambayo ndiyo mama wa sheria zote nchini, imetamka kwamba inaheshimu faragha za watu.

Haya, huko mitaani kwetu hakuna mashoga? Mpaka bungeni wapo, na wanajulikana kwa majina. Ushasikia wamekamatwa? Kuna hoteli jijini DSM imepewa mpk barua ya pongezi kwa kufanya mashoga waishi vizuri. Umesikia serikali ama vyombo vya dola vikipanu mdomo na kutema cheche? Kimyaaa! Kana kwamba hakuna serikali wala vyombo vya dola.

Halafu hii vita ya ushoga tutaiweza na njaa zetu hizi? Anaye-promote ushoga ndiyo huyo huyo anayekufahili bajeti yako. Utaweza kumpinga kwenye jambo lake? Ni sawa na tajiri ambaye ni jirani yako, kila kitu anakusaidia, siku akimtaka mkeo atashindwa kumpata?

Hii vita hatuiwezi, ndiyo maana serikali imeufyata hata kutunga sheria kali za kuharamisha ushoga . Na hata mashoga wanatamba mitaani na sehemu za starehe. Hakuna anayethubutu kuwakamata.

K1apuya Foundation isitumike kama bangusilo (chambio) ili kuwahadaa wananchi kuwa iko serious na vita dhidi ya ushoga. Itungwe sheria na tuone mashoga wakianza kukamatwa.


Naomba kuwasilisha!
Mkuu Sheria ipo tena kali ila enforcement ndio tabu tunaogopa yaliyo wakuta Uganda Toka kwa wakubwa wa Marekani.
 
Mkuu Sheria ipo tena kali ila enforcement ndio tabu tunaogopa yaliyo wakuta Uganda Toka kwa wakubwa wa Marekani.
Kuna mwanasheria wa hapa kitaa (sijui atakuwa bush lawyer huyu?), anasema shoga atakamatwa tu endapo atatokea mlalamikaji aliyefanyiwa vitendo vya ushoga.

Nikajiuliza... Yaani mwizi anayejulikana ni mwizi tusubiri aibe kwanza ndipo akamatwe?
 
Back
Top Bottom