Hivi Serikali ililenga nini kufuta bima ya AFYA ya watoto chini ya miaka 5?

Hivi Serikali ililenga nini kufuta bima ya AFYA ya watoto chini ya miaka 5?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Huwa ninajiuliza juu ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu hii nashindwa kuelewa, hivi bima ya watoto chini ya umri wa miaka 5 kufutwa, lengo Hasa ni nini? Matibabu ya watoto chini ya umri wa miaka 5 yaligharimiwa na Serikali Kwa Kodi zetu, sasa Badala ya kufuta ununuzi wa v8, mnafuta matibabu Bure ya watoto wa maskini?

Leo mtoto mmoja anasaidiwa mguu bandia Kwa gharama za Serikali, chawa humu kina Lucas wanashangilia bila kujua kuwa kabla ya Samia kufuta bima za watoto, watoto walipata huduma hizo Bure Nchi nzima.

ATHARI ZA KUFUTA BIMA YA AFYA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5.

1. VIFO VYA WATOTO VITAONGEZEKA.

Watazaliwa wengi, ila Kwa kukosa huduma za AFYA sababu ya kipato, vifo VITAONGEZEKA.

2. POPULATION ITAPUNGUA.

Kuongezeka vifo vya watoto kutokana na wazazi kushindwa kuhimili gharama za matibabu, kutasababisha kupungua idadi ya watu huko mbeleni, au ndio Hasa lengo la Serikali kupitia masharti ya mikopo wakopayo?

Tulitegemea kwamba kiongozi mkuu akiwa mwanamke, angekuwa wa kwanza kujali AFYA za watoto wa wananchi anaowaongoza, lakini imekuwa vinginevyo. Kiukweli CCM kura za wanawake, mtaishia kuzisikia tu chaguzi zijazo!!

Hili nalo mkalitizame!!

Pumzika Mzalendo JPM.

Karibuni 🙏
 
Ccm ndio adui wa Taifa.
Kijijini Mwananchi mwenye wake wengi na watoto wasio na idadi,

Awezaje kumudu gharama za bima ya AFYA?

Halafu humu Kuna watu wanamwita kiongozi wetu, mama 🤔
 
Salaam, Shalom!!

Huwa ninajiuliza juu ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu hii nashindwa kuelewa, hivi bima ya watoto chini ya umri wa miaka 5 kufutwa, lengo Hasa ni nini?

Leo mtoto mmoja anasaidiwa mguu bandia Kwa gharama za Serikali, chawa humu kina Lucas wanashangilia bila kujua kuwa kabla ya Samia kufuta bima za watoto, watoto walipata huduma hizo Bure Nchi nzima.

ATHARI ZA KUFUTA BIMA YA AFYA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5.

1. VIFO VYA WATOTO VITAONGEZEKA.

Watazaliwa wengi, ila Kwa kukosa huduma za AFYA sababu ya kipato, vifo VITAONGEZEKA.

2. POPULATION ITAPUNGUA.

Kuongezeka vifo vya watoto kutokana na wazazi kushindwa kuhimili gharama za matibabu, kutasababisha kupungua idadi ya watu huko mbeleni, au ndio Hasa lengo la Serikali kupitia masharti ya mikopo wakopayo?

Tulitegemea kwamba kiongozi mkuu akiwa mwanamke, angekuwa wa kwanza kujali AFYA za watoto wa wananchi anaowaongoza, lakini imekuwa vinginevyo.

Hili nalo mkalitizame!!

Pumzika Mzalendo JPM.

Karibuni 🙏
Bima ya Afya ya Toto Afya kadi ilifutwa lini wewe kinyago?

Wacha aendelee kupumzika wakati wewe unaungua.
 
Salaam, Shalom!!

Huwa ninajiuliza juu ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu hii nashindwa kuelewa, hivi bima ya watoto chini ya umri wa miaka 5 kufutwa, lengo Hasa ni nini?

Leo mtoto mmoja anasaidiwa mguu bandia Kwa gharama za Serikali, chawa humu kina Lucas wanashangilia bila kujua kuwa kabla ya Samia kufuta bima za watoto, watoto walipata huduma hizo Bure Nchi nzima.

ATHARI ZA KUFUTA BIMA YA AFYA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5.

1. VIFO VYA WATOTO VITAONGEZEKA.

Watazaliwa wengi, ila Kwa kukosa huduma za AFYA sababu ya kipato, vifo VITAONGEZEKA.

2. POPULATION ITAPUNGUA.

Kuongezeka vifo vya watoto kutokana na wazazi kushindwa kuhimili gharama za matibabu, kutasababisha kupungua idadi ya watu huko mbeleni, au ndio Hasa lengo la Serikali kupitia masharti ya mikopo wakopayo?

Tulitegemea kwamba kiongozi mkuu akiwa mwanamke, angekuwa wa kwanza kujali AFYA za watoto wa wananchi anaowaongoza, lakini imekuwa vinginevyo. Kiukweli CCM kura za wanawake, mtaishia kuzisikia tu chaguzi zijazo!!

Hili nalo mkalitizame!!

Pumzika Mzalendo JPM.

Karibuni 🙏
chawa ni tatizo kubwa
 
Salaam, Shalom!!

Huwa ninajiuliza juu ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu hii nashindwa kuelewa, hivi bima ya watoto chini ya umri wa miaka 5 kufutwa, lengo Hasa ni nini?

Leo mtoto mmoja anasaidiwa mguu bandia Kwa gharama za Serikali, chawa humu kina Lucas wanashangilia bila kujua kuwa kabla ya Samia kufuta bima za watoto, watoto walipata huduma hizo Bure Nchi nzima.

ATHARI ZA KUFUTA BIMA YA AFYA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5.

1. VIFO VYA WATOTO VITAONGEZEKA.

Watazaliwa wengi, ila Kwa kukosa huduma za AFYA sababu ya kipato, vifo VITAONGEZEKA.

2. POPULATION ITAPUNGUA.

Kuongezeka vifo vya watoto kutokana na wazazi kushindwa kuhimili gharama za matibabu, kutasababisha kupungua idadi ya watu huko mbeleni, au ndio Hasa lengo la Serikali kupitia masharti ya mikopo wakopayo?

Tulitegemea kwamba kiongozi mkuu akiwa mwanamke, angekuwa wa kwanza kujali AFYA za watoto wa wananchi anaowaongoza, lakini imekuwa vinginevyo. Kiukweli CCM kura za wanawake, mtaishia kuzisikia tu chaguzi zijazo!!

Hili nalo mkalitizame!!

Pumzika Mzalendo JPM.

Karibuni 🙏
Hivi ni Serikali au Bunge?
Serkali ni nani?
Nani aliamka kwa mume wake Masaki akasema leo naenda kufuta Bima watoto wafe bila matibabu?
Nani alimchagua na ana repost clip za huyo aliyefuta hizo bima?
Taja jina acha kujumuisha Serikali kwa ujumla wake.

#Bima ikirudishwa mtasema Serikali imerudisha ama mnasema sijui #mummy?
 
Salaam, Shalom!!

Huwa ninajiuliza juu ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu hii nashindwa kuelewa, hivi bima ya watoto chini ya umri wa miaka 5 kufutwa, lengo Hasa ni nini?

Leo mtoto mmoja anasaidiwa mguu bandia Kwa gharama za Serikali, chawa humu kina Lucas wanashangilia bila kujua kuwa kabla ya Samia kufuta bima za watoto, watoto walipata huduma hizo Bure Nchi nzima.

ATHARI ZA KUFUTA BIMA YA AFYA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5.

1. VIFO VYA WATOTO VITAONGEZEKA.

Watazaliwa wengi, ila Kwa kukosa huduma za AFYA sababu ya kipato, vifo VITAONGEZEKA.

2. POPULATION ITAPUNGUA.

Kuongezeka vifo vya watoto kutokana na wazazi kushindwa kuhimili gharama za matibabu, kutasababisha kupungua idadi ya watu huko mbeleni, au ndio Hasa lengo la Serikali kupitia masharti ya mikopo wakopayo?

Tulitegemea kwamba kiongozi mkuu akiwa mwanamke, angekuwa wa kwanza kujali AFYA za watoto wa wananchi anaowaongoza, lakini imekuwa vinginevyo. Kiukweli CCM kura za wanawake, mtaishia kuzisikia tu chaguzi zijazo!!

Hili nalo mkalitizame!!

Pumzika Mzalendo JPM.

Karibuni 🙏
Mumeambiwa Kila mmja akakate bima ya Afya ,sheria ya bima ya Afya Kwa wote imepitishwa wewe unaimba ngonjera za kijinga hapa.

Kwenye ziara kote Rais amesisitiza hili badala ya kujitokeza kwenye mikutano kuomba Msaada
 
Ndio.Toto hugawiwi unaenda kukata kama bima zingine Kwa malipo
Sasa unachobisha ni nini?

Hujui kabla ya Samia, matibabu hayo yaligharimiwa na Serikali kupitia Kodi za wananchi?

Masega ya Asali mbichi yamekulevya?
 
Badala ya kufuta ununuzi wa ma Vx8, mnafuta matibabu yaliyokuwa yakigharamiwa na Serikali Kwa watoto!!

Tutakutana kwenye ballot box 2024&2025!!
 
Back
Top Bottom