Wengi wanahitaji msaada kujua japo hilo nalo ni tatizo,wengi kwa kuwa mazoea habari za garama anapewa baba sii wa kutambia hilo leo wala kesho,wengi wataishia kulaumu baba ameacha kuhudumia familia bila kujua mabadiliko hasi kama haya yana madhara katika maisha ya kila siku na kuongeza sana gharama za maisha.Itafahamika tu 2024&2025,
Wanawake wenye watoto chini ya miaka 5 waliondolewa huduma Bure iliyokuwepo enzi ya Magu watatumia vizuri kura zao tutoa adhabu Kwa CCM!!
Tusubiri.
Familia ikilala njaa taifa hali athiriki ila familia?familia ikikosa uwezo wa kupata huduma za msingi taifa haliathiriki ila familia?Taifa likiongeza adui maradhi taifa hali athiriki ila famili?Athari zote ulizotaja haziathiri nchi labda kwa familia tu.
Population kupungua Ni faida kwasababu Tanzania inapopulation kubwa Tena idadi kubwa ikiwa niwatoto
Kwamba unafurahia watoto wa maskini kufa Kwa kukosa matibabu?Athari zote ulizotaja haziathiri nchi labda kwa familia tu.
Population kupungua Ni faida kwasababu Tanzania inapopulation kubwa Tena idadi kubwa ikiwa niwatoto
Kwamba unafurahia watoto wa maskini kufa Kwa kukosa matibabu?
Mawazo ya kisheteni hayaπ€
Kwa nchi yetu inayotegemea KILIMO kama backbone, huoni kupungua Kwa population ni kupungua Kwa nguvu KAZI ya vijana katika KILIMO na uzalishaji.Sifurahii nimefafanua madhara aliyoainisha mdau Soma Tena kwa utulivu uelewe
Kwa nchi yetu inayotegemea KILIMO kama backbone, huoni kupungua Kwa population ni kupungua Kwa nguvu KAZI ya vijana katika KILIMO na uzalishaji.
Hoja ni ndogo kabisa wao ndio hawachangii Watu wao na zile wanazochanga wengine wanazikopa sasa mfuko utajiendeshaje? Wakaona kwakua asilimia kubwa ya wagonjwa ni watoto hivyo wanaona gharama kuwa kubwa wanasahau wao ndio wanaobebesha madeni taasisi kwakutopeleka michango au kuchelewesha ile hali watumishi wameshakatwa kwenye mishahara yaoSalaam, Shalom!!
Huwa ninajiuliza juu ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu hii nashindwa kuelewa, hivi bima ya watoto chini ya umri wa miaka 5 kufutwa, lengo Hasa ni nini? Matibabu ya watoto chini ya umri wa miaka 5 yaligharimiwa na Serikali Kwa Kodi zetu, sasa Badala ya kufuta ununuzi wa v8, mnafuta matibabu Bure ya watoto wa maskini?
Leo mtoto mmoja anasaidiwa mguu bandia Kwa gharama za Serikali, chawa humu kina Lucas wanashangilia bila kujua kuwa kabla ya Samia kufuta bima za watoto, watoto walipata huduma hizo Bure Nchi nzima.
ATHARI ZA KUFUTA BIMA YA AFYA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5.
1. VIFO VYA WATOTO VITAONGEZEKA.
Watazaliwa wengi, ila Kwa kukosa huduma za AFYA sababu ya kipato, vifo VITAONGEZEKA.
2. POPULATION ITAPUNGUA.
Kuongezeka vifo vya watoto kutokana na wazazi kushindwa kuhimili gharama za matibabu, kutasababisha kupungua idadi ya watu huko mbeleni, au ndio Hasa lengo la Serikali kupitia masharti ya mikopo wakopayo?
Tulitegemea kwamba kiongozi mkuu akiwa mwanamke, angekuwa wa kwanza kujali AFYA za watoto wa wananchi anaowaongoza, lakini imekuwa vinginevyo. Kiukweli CCM kura za wanawake, mtaishia kuzisikia tu chaguzi zijazo!!
Hili nalo mkalitizame!!
Pumzika Mzalendo JPM.
Karibuni π
Hayo mabox ya kura, Nape kasema si lolote Wala chochote!Badala ya kufuta ununuzi wa ma Vx8, mnafuta matibabu yaliyokuwa yakigharamiwa na Serikali Kwa watoto!!
Tutakutana kwenye ballot box 2024&2025!!
Kura za wizi Huwa ni za kuongeza, ndio maana Huwa wanafanya compaign,Hayo mabox ya kura, Nape kasema si lolote Wala chochote!
Nape anadai, kushinda uchaguzi katika nchi hii, ni kujua tu anayehesabu kura na anayetangaza ni nani!π
Kwa Magu mbona iliwwekanaHoja ni ndogo kabisa wao ndio hawachangii Watu wao na zile wanazochanga wengine wanazikopa sasa mfuko utajiendeshaje? Wakaona kwakua asilimia kubwa ya wagonjwa ni watoto hivyo wanaona gharama kuwa kubwa wanasahau wao ndio wanaobebesha madeni taasisi kwakutopeleka michango au kuchelewesha ile hali watumishi wameshakatwa kwenye mishahara yao
Si bima in such,Bima ya afya ipi hiyo wamefuta na nilini?
Pia na machozi yakibubujika!!?Naona msaada alioutoa Mheshimiwa Rais jana na kugusa mioyo ya mamilioni ya watanzania umewauma sana CHADEMA.Maana mmeona Rais anaendelea kupewa sifa na pongezi kutoka kila kona ya nchi yetu kutokana na moyo wake wa upendo ,utu ,huruma na kuguswa na Maisha ya watu.