Hivi serikali za CCM miaka 70 ya uhuru zimeweza nini mbona vitu muhimu kama Maji na umeme bado shida kuu?


Ukiwasikiliza kwa sasa ni kama wamegawanyika, ccm ya sukuma gang, na ccm msoga line. Ccm sukuma gang wanaonyesha kwamba mgao wa maji wa sasa sio uzembe wa ccm iliyokaa madarakani muda mrefu, bali wanaonyesha ccm msoga line ndio tatizo. Ukiwauliza ukame wa 2016 wakati mwendakuzimu akiwa madarakani, kulikuwa na mgao wa maji na hakuna alilofanya mpaka mvua iliponyesha hawana majibu! Je wamejenga mabwawa makubwa ya kutunza maji wakati wa mvua ili kukitokea ukame kuwe na reserve hawana majibu!

Hili la mgao wa umeme sukuma gang wanamlaumu muhuni wa Msoga line @januarymakamba kwamba ndio chanzo. Ukiwauliza kwanini mwendakuzimu atie 7t kwenye mradi mpya wa maji utakaozalisha 2,115mg, wakati maji tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi, na asiweke 3t kwenye mradi wa umeme wa gas ambao tayari ulikuwa unazalisha umeme, maana ungeweza kuzalisha hizo megawati wanazotaka kuzalisha kwenye maji? Ukifika hapo wanasema ww ni chagadema, na Mbowe lazima ale mvua miaka 30 kwani mahakama ni huru ndio maana zimemfunga Sabaya!!!
 
Hiyo ndiyo maana ya burigi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Utajuwaje nawe ukitoka ni nyuma ya pick up kwenda kununua pumba shemeji akifurahi anakuachia guta siku hiyo linatembea kwa matairi matatu!
 
Utajuwaje nawe ukitoka ni nyuma ya pick up kwenda kununua pumba shemeji akifurahi anakuachia guta siku hiyo linatembea kwa matairi matatu!
Miezi 8 uliokaa burigi naona hata akili zimebadilika umekuwa kama wenyeji wa burigi
 
Mmawiya kumbe wewe Nusu dengu Nusu Dona.kumbe kichwa I zimepuruka. Yaonyesha wewe unatetea Maisha yaleo. Hujali vijukuu vyako hapo baadae. Tunaangalia mustakabali wakesho yetu. HAO ulio watajua NI wapambanaji WA Maisha ya wajao. Hawajigikirii Leo yetu. Amakweli Leo ndo nayasadiki maneno ya wahenga,,,
Intellectuals solve problems, geniuses prevent them.
,,,(Wasomi hutatua shida, fikra zinawazuia.),,Sijui kama Tafsi yangu iko sahihi !!! Kalambwe na wale walumumba. Kabinie watwange mabwana zako wachimia tumbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…