Hivi sheria ya offside haiwezi kufutwa?

Hivi sheria ya offside haiwezi kufutwa?

Masikini weeee
FB_IMG_1701840960728.jpg
 
Labda niulize wataalamu wa soka hii sheria ikifutwa madhara yake yatakuwa ni nini?

Na msingi wa hii sheria ni nini?

Hivi hata kucheza offside trick sio ushahidi kuwa sometimes hii sheria inatumika vibaya na ni sababu nyingine ya hii sheria kufutwa?
Ifutwe kwasababu Yanga imenyimwa goli la offside?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom