Simba walipotolewa na Ud Songo pamoja na timu ya botswana kwa kanuni za magoli ya.ugenini jamaa zetu walichekelea Sana. Lakini wao walipokosa kombe kwa kanuni ya goli la ugenimi wakaanza kulalamika Mara Sheria haifai, UEFA washaifuta kwa kifupi hawaeleweki