Hivi shisha ni kilevi cha aina gani na mchanganyo wake ukoje?

Hivi shisha ni kilevi cha aina gani na mchanganyo wake ukoje?

Hahah nakwambia kweli tena, unaweza kuta mi ndo mchizi wako wa ubani ni vile hujui tu kama nipo jeiefu

Kama ikiwa ni moja ya machizi wangu itakuwa unyama sana siku nikikujua

Ila wewe usinijue 😀
 
Wakuu mm ni wa mikoani huku hebu nitoeni ushamba kidogoHivi inavutwaje hasa,na inawekwa kwenye kifaa kipi?
Formular yake anayo DAB alikuwa anapambana na shisha fake enzi za uhai wake
 
Kama ikiwa ni moja ya machizi wangu itakuwa unyama sana siku nikikujua

Ila wewe usinijue 😀

Ni kama kuna mchizi wangu mmoja humu (ni ke), mimi namjua lakini yeye hanijui na karibu kila wiki nakutana naye...

Siku akija kunijua nahisi atanimind sana...
 
Ni kama kuna mchizi wangu mmoja humu (ni ke), mimi namjua lakini yeye hanijui na karibu kila wiki nakutana naye...

Siku akija kunijua nahisi atanimind sana...

Hii bahati ya kujua ID ya mtu ninayemfahamu nje ya JF sijawahi kuipata asee
 
Rais Samia ameteua na kufanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Makatibu Tawala na Kaimu Kamishna (TANAPA).
 
Back
Top Bottom