Mtoto wa mama anaupiga mwingi au cio!?Ngoja Mwashambwa aje abubujikwe machozi ya furaha
Acha kuzaa naye, Kuna mwanaume analala naye mwanamke wa hivo. Kazi kwelikweliAlafu kuna mwanaume amezaa nae huyo
Sahihi,Kama vile tunavyoona raha kuangalia movie za black Americans zilizojaa matusi na tunaona ni culture, nadhani hata uswazi wana aina yao ya ustaarabu ndio maana wengi wanaoutukanwa mitandaoni kama sio wife materials, bado wana ndoa zao
Kwa hiyo nachokions kikubww ni mitandao tu Ila vibaokata kama vingekuwa vinaoneshwa kwenye Tv toka enzi hizo. Vitu vingi tusingevishangaa
ππ€£ Niko mahali hapa Bagamoyo mwezi Sasa. Kuna jamaa tuko nao hapa kila neno lenye mkazo kwenye sentensi wanasindikizia na tusi Tena lile tusi kubwa la kiungo Cha akina mama...... Mtu MMOJA ananiambia ukiona hivyo hao wamekulia gengeni.... Sijajua maana yake.HIvi sijui ni nani aliwadanganya watu kuwa ukitukana mitusi mikubwa mikubwa ndio utaonekana wewe ni mjanja na mtoto wa mjini