Hivi sifa kubwa ya kuteuliwa na Rais kwenye nafasi za utumishi wa Umma ni kuwa kada kindaki ndaki wa CCM?

Ni kweli kabisa.

Inashangaza kuona wale ambao ni mabingwa wa kuwatukana wapinzani, ndiyo wanaopewa "priority" ya uteuzi!
Hivi rais alipowateua wakina kitila mkumbo au mama mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro walikuwa makada wa CCM mbona marais wote waliopita hawakuwahi kuwachagua wapinzani na hamkusema?
 
Mbona alimteua Anna Mngwira wa ACT kua RC? Pia alimteua Prof Kitila wa ACT kua Katibu Mkuu wa wizara. So Mhe Rais hana ubaguzi wa kichama
 
Ni kweli kabisa.

Inashangaza kuona wale ambao ni mabingwa wa kuwatukana wapinzani, ndiyo wanaopewa "priority" ya uteuzi!
sasa hivi kuelekea uchaguzi kapunguza speed kidogo ili kuwaadaa watu kwa kumtoa chizi mmoja mkuu wa Arusha na kutuma ujumbe kwa wengine kuwa watulie kwanza. ila uchaguzi ukipita huyu atapata kazi sehemu akayaendeleze.
 
Kabisa........

Ukisikia mpinzani kateuliwa kwenye nafasi za uteuzi za Mheshimiwa Rais, aidha mpinzani huyo yupo njiani kuekekea CCM, au mpinzani huyo ni kiwiliwili tu chake kipo upinzani lakini moyo wake upo CCM!
ila imetumika nguvu kubwa sana kuiangamiza CHADEMA, Mpaka Nasali kasalimu amri kajisalimisha ccm ili tu apae uhakika wa kupata ubunge! Yaelekea ubunge ni biashara inayolipa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…