Hivi siku Gerson Msigwa akifutwa kazi itakuwaje?

Hivi siku Gerson Msigwa akifutwa kazi itakuwaje?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!
 
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!
Unaongelea nini? Hueleweki.
 
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!
Mkuu umechanganyikiwa ?
 
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!
Anapambania tumbo lake na la familia yake yeye hando, kitenge, zembwela ni walewale tu
 
Akifutwa kazi SI atateuliwa mwingine?

Umekaa kupiga Ramli tuh maisha ya watu yaende kombo,uchawi tuh
 
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!
Atakuwa ni WA kwanza kufutwa kazi? Kwani wewe hapo ikoje?
 
1. Tutawanyonga
2. Tutawafilisi na
3. Tutawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha nne wote wanaoshiriki kuuza nchi yetu.

Najua tutairudisha bandari yetu 2025 japo tutalipa fidia.

Waache washupaze shingo
 
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!

Atateuliwa mwingine na ataendelea kufuata script kama kawaida
 
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!
Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wallah sipati picha!

Kwa kijilicho na kwa namna anavyoshupaza shingo, hakika ndugu yangu Msigwa umejiandalia fedheha ya wazi isiyo na kiasi.

Ya nini kushupalia shingo huku misuli ikikukakamaa sehemu "zote" kwa jambo usilo na weredi kwalo?! Ni kweli umeshindwa kuwiwa na kiasi?

Sielewi hata umepatwa na nini Gerson!

Haki ya Mungu kwa ninavyowajua wabongo anguko lako ni ngojewa na sijui wapi uso wako utauweka!
Atakuwa kama ndungai
 
Nyumba yake ya pale igelehedza ilembula naijua. Nitakuwa naenda jioni kupiga nae story nikitoka uhambule na baiskeli
 
Back
Top Bottom