Hivi siku hii Askofu Gwajima alikuwa amekula nini?!

Sijaelewa kilichoandikwa ila nimesikitika sana
 
Mimi nakuambia kwenye haya makanisa yetu ya kilokole wallah kuna vituko mahala pengine aibu unaona wewe . Sio kote wala si wote ila kuna mahubiri mengine unaona kabisa hapa ni mihemko binafsi ya mchungaji
 
Mnaandika na kuposti vitu havieleweki sijui huwa mnafikiria nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…