Alikiba na Diamond kwa sasa washabuma, hawana uwezo wa kutengeneza HIT SONS tena, wamebaki kutumia UMAARUFU wao tu na kujipa FARAJA za mitandaoni na REKODI za YouTube. Na kibaya zaidi Domo amekuwa mropokaji sana siku hizi, anajivunia UFUSKA utadhani ni jambo la kawaida tu na Dunia ushaiweza. Jamaa amezidisha MADRAMA ya NGONO utafikiri yeye tu anajua saana kuliko kila mtu na kibaya zaidi ashazoeleka, HASHTUI tena
- Aslay kafanikiwa sana mwaka huu kutengeneza HIT SONGS nyingi ( Kama akiwa BRANDED Vizuri, akaachana na MADRAMA ya NGONO akaandaliwa show hata ya ASLAY NIGHT Kiingilio 50,000 MLIMANI CITY anabadili upepo wa GAME, Watu washachoka na MUZIKI wa KIKI akifuatiwa na BEKA FLAVOR.
- Wasafi naona HARMONIZE anajitahidi ila apunguze MIDRAMA ya NGONO kuzidi kazi