Hivi siku ukikutana na video chafu ya mwanao utakuwa na hali gani?

Hivi siku ukikutana na video chafu ya mwanao utakuwa na hali gani?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Yani nimepita mtandaoni nimeona mjadala wa watoto wanaodaiwa walikua wanafunzi wa shule fulani picha zao cha uchi zimevuja mtandaoni. Nimewaza sana hali ya wazazi wao sijui ikoje kwa sasa, imagine mtoto hata miaka 25 hajafikisha anakupa kadhia kama hiyo.

Nawaza yakinikuta mimi nitafanye ? nitaweka wapi sura yangu? eem Mungu kinusuru kizazi changu/ na cha wengine kiujumla, malezi yamekua changamoto sana.

Mwanangu itambidi kwanza asitumie simu ya smart hadi atakapoolewa, atatumia laptop, na kiswaswadu tu.
 
Daaah mkuu acha tuu even mee nimewaza snaa aiseeee..

Mi kama ni mwanangu yaani siku hiyo tapiga hiyo mbwa huku nalia..

Yaani takua napiga hadi nang'ata kabisa an piga piga hovyo hovyo..

Siku hiyo
..... Mkuu wallah kwanza nishaanza pata hasira hapa nahisi kama ishatokea kweli kwangu
 
Daaah mkuu acha tuu even mee nimewaza snaa aiseeee..

Mi kama ni mwanangu yaani siku hiyo tapiga hiyo mbwa huku nalia..

Yaani takua napiga hadi nang'ata kabisa an piga piga hovyo hovyo..

Siku hiyo
..... Mkuu wallah kwanza nishaanza pata hasira hapa nahisi kama ishatokea kweli kwangu
Ndio maan ukaitwa poor brain
 
Hilo jambo ni hadi likukute ndio utajua umefanya nini. Hii ya kuongea kabla ya tukio huwa ni illusion tu. Tukio kama hilo huwa linaamsha hisia na mhemko wa tofauti. Unaweza jikuta unalia tu, au unapiga hadi unaua, mwingine unaza kuta anazimia tu. Ni matukio flani hivi rahisi kuyazungumzia kabla yatokee ila magimu ku deal nayo yakitokea
 
Je, Wazazi wa mapornstars wa huko ulaya na usa wanajisikiaje?
Kuna yule pornstar jina limenitoka wanacheza na mwanayr scene Moja wanafanya matukio yote 😭😭😭
IMG-20250103-WA0005.jpg

Hawa ni zaidi ya Shetani
 
Na inasemekana hao watoto walilelewa katika mazingira ya kidini. Siku zote ukimfuga na kumlea mtoto katika mazingira ya kidini sijuwi upuuzi gani bila kukaa naye chini na kuongea naye madhara yake ndiyo haya.
 
Yani nimepita mtandaoni nimeona mjadala wa watoto wanaodaiwa walikua wanafunzi wa shule fulani picha zao cha uchi zimevuja mtandaoni. Nimewaza sana hali ya wazazi wao sijui ikoje kwa sasa, imagine mtoto hata miaka 25 hajafikisha anakupa kadhia kama hiyo.

Nawaza yakinikuta mimi nitafanye ? nitaweka wapi sura yangu? eem Mungu kinusuru kizazi changu/ na cha wengine kiujumla, malezi yamekua changamoto sana.

Mwanangu itambidi kwanza asitumie simu ya smart hadi atakapoolewa, atatumia laptop, na kiswaswadu tu.
Laptop ikipata access ya internet haina tofauti na simu kila kitu unapata na ziada big screen so haujatatua tatizo bado
 
kuna polisi tulizika miaka ya nyuma kidogo,alikuwa ni jirani yetu,...alipigiwa simu kuwa mwanae wa kike,anayesoma boarding school amekamatwa club na wenzie yupo kituo cha polisi x,.....mzee akajibeba hadi pale,..kufika pale akapewa taarifa kuwa madogo huwa wanaenda hapo kukutana na wapenzi wao na huwa wanajirekodi video za Ngono na hao wapenzi wao ambao ni wahuni tu wa mtaa, hii ni baada ya polisi kuwabana vya kutosha wale madogo,....mzee hakuamini kabisa,...wakampa moja ya simu yenye hizo video ambazo ndizo zilizowashitua police, mpaka wakaamua kuwahoji kwa undani hao madogo,..mzee alianguka presha akafia hospital,......
 
Back
Top Bottom