Hivi Simba huwa ni uwezo wenu au kuna la ziada?

Hivi Simba huwa ni uwezo wenu au kuna la ziada?

Upo kwa Mkapa unatolewa jasho na waliopanda daraja halafu mnajiona mna bonge la timu.
Basi Sisi Hatuna Bonge La Timu Tufanye Nyie Ndo Mna Bonge La Timu Na Mnaongoza Ligi Na Kwenye Ufungaji Mchezaji Wenu Mzamiru Ndo Anaongoza Kwa Magoli 11.
 
Unataka kuniambia misimu minne mfululizo aliyobeba ubingwa Simba mechi zote alicheza kwa mkapa? Napata mashaka Kama unaujua mpira vizuri na kwa undani .

Kwanza elewa nini maana ya ligi ,pia elewa neno ki mashindano ,pia elewa nini maana ya mpira .

Ni ligi gan dunian ambapo timu moja tu ndio inakua bingwa miaka nenda Rudi? Je ikiwa hivyo je kutakua na Radha ya hiyo ligi?

Yaan watu wa yangá ni watupu Sana kichwan ,upeo mdogo Sana na maneno yote haya yanakuja baada ya kuona mnaenda kubeba ubingwa lakin pia hamkos sabab mfano Simba angekua na dalili hizo lawama zote angebebeshwa mbaba wa watu kalia ila malalamiko hayo saiz hatuyasikii Zaid mnakuja na hoja dhaifu Kama hizi.

Ujue mpira Kisha nao utakujua ,hata epl na bundasliga ubingwa wanapokezana so elewa kila timu inakua na malengo ya ubingwa ila bahat na kujipanga Zaid ya wenzio bas unaibuka mshindi Kati ya wengi na huwez kuwa na bahat kila msimu .

Ajabu mnambwembwe huu msimu mkifika club bingwa nako mkalete hizi mbwembwe

Zaman nilijua Simba na yanga ni watan wa jad ila kumbe sio siku iz ni uadui uliojaa usntch ndani yake.

Pia ubingwa huenda sambamba na aliyecheza kamali yake vzr kwenye usajir yaan akapatia ,yanga kwasasa iko vzr lakin haimanish watakua vzr miaka yote Kuna muda nao lazima wachange karata zao vibaya huo ndio mpira .

Man u alisumbua snaa epl je saiz Ana kipi cha maana? Lakin hiyo haiondoi kuwa man u ni club Bora pamoja na kwamba haibeb ubingwa .

Mmekomaa na figisu kuwa Simba Ana michezo ya ujanja ujanja ,vipi nyie yanga hamzitak b kadhaa anazopata Simba huko kimataifa ?

Acheni roho ya kwann ,pambanen nanyi ili muwe km Simba hasa kimataifa.
Nazungumzia klabu bungwa sio ligi kuu
 
Yaani ukiwa yanga kweli akili zinaruka kiufupi kwenye CAF champion's league au UEFA kule kwa wazungu kila mtu anatumia uwanja wake wa nyumbani ndio kawaida ya mashindano hayo liverpool alikufa 3 pale kwa Barcelona ila Anfield alikufa 4 mtungi psg alipigwa 6 na Barcelona,

wakati watu wanaamini game ilishaisha na juzi hapa Madrid kampiga psg bernabeu hyo ni mifano tu kwa wazungu tukija africa hapa niletee takwimu za team iliyoshinda ugenini mechi zake zote au mechi mbili kwenye CAF champion's league halafu kuhusu Madrid sikusema ilikuwa mbovu ila wakati Madrid anachukua UEFA Barcelona ndo alikuwa bingwa wa league tena mara 7 mfululizo huku Madrid anachukua UEFA,

mara tatu mfululizo bila kuwa bingwa wa league point yangu ni kwamba league na mashindano ya kimataifa zinakuwa na aproach tofauti ila kabla hatujaendelea niletee team zilizo shinda ugenini mechi zote au angalau mechi mbili kwenye CAF champion's league ya africa nakusubira mkuu ili twende sawa.

Kwa ulaya hakuna timu inakuwa na Guarantee ya kuwa lazima ya kupata matokeo nyumbani kwake maana hakuna kingine zaidi ya kucheza mpira, hivyo yeyote aliyejipanga vyema anaweza kupata matokeo.

Liverpool alitolewa kwa kufungwa goli tatu pale pale Anfield dhidi ya Atletico Madrid

Atalanta kafumulushiwa huko huko kwao dhidi ya vilareal
Chelsea kafungwa na Madrid hapo hapo darajani kwao
Benfica kafungiwa huko huko kwao
Juventus katolewa na kufungwa huko huko kwao
Ajax katolewa kwa kufungwa huko huko kwao
Man U kapigiawa huko huko kwao
Liverpool vs Inter walibadilishana tu uwanja, kila mmoja akishindia ugenini kwa mwenzie.
Lile kafungwa kwao dhidi ya chelsea.

Hizo ni baadhi ya mechi za hivi karibuni ulaya, kama hakuna kingine zaidi ya mpira kuchezeka uwanjani, timu yoyote inaweza kupata ushindi popote pale.

Kwa upande wa mashindano ya Caf

1) Orlando pirates kashinda mechi mbili away
2) Soura, Al Ittihad, pyramid, Al Ahl Tripol wameshinda away na kutoa sare
3) Mamelody hakupoteza hata mechi moja away
4) Raja Casablanca, Es Tunis na Wydad Casablanca washinda mechi mbili away

Zipo timu zilizopata ushindi wa mechi moja moja away kama vile Petro de Luanda, Amazulu, Es Setif, Belouizdad
 
Uzi wa hovyo sana. Simba ikifungwa ziada haipo, ikishinda kuna ziada. Akili zenu sijui zikoje? Simba imefungwa na Jwaneng kwa Mkapa, kwa hiyo unafikiri simba haikupenda kuendelea CAF champions mpaka wasitumie hiyo ziada kama ipo?
 
Simba ilishinda away na ikafungwa nyumbani na Jwaneng Galaxy.

Sheria ya goli la ugenini iliwekwa kwa kuona timu nyingi zinapata shida kushinda ugenini na kuona timu nyingi zinapaki basi ugenini.

Nadhani uwepo wa corona umewafanya sheria waifute kwa vile hata advantage ya mashabiki kuwepo uwanjani haikuwepo.


Mpaka sasa hivi Simba ina uhakika wa 800M. Level ya umakini inakuwepo kimataifa. Na ikitokea imemtoa Orlando kama 200M inaongezeka kwa hii 800M. Na heshima juu.
 
Banda ameshasema.......Simba mechi za nyumbani wananunua waamuzi
Ununuzi wa mechi ndo huwafanya waonekane, waulize Berkane, goli halali linakataliwa baada ya Makolo kupenyeza rupia, hili Abdi Banda analijua.
 
Nakukumbusha tu Orlando pirates yuko nafasi ya 5 kwenye msimamo wa league ya kwao nadhani umenielewa fuatilia team zinazo shiriki CAF champion's league angalia matokeo yao ya league halafu fuatilia CAF champion's league wanapata matokeo gani itoshe tu kusema league na CAF,

Ni tofauti unaona hata Ulaya real Madrid hata iwe mbovu vipi lakini UEFA inafanya vizuri hiyo tunasema experience matters than talent kawadanganye utopolo wenzio huko sisi tunawasubiri kimataifa ila simba kashakunja 1.4B kwenye CAF kwako utopolo na karia.
Mwenyekiti Mangugu alitangaza kuwa kuanzia mechi ya Biashara Mara Simba itaanza harakati zake kupunguza gepu la point, mara tukaanza kuona washika vibendera wanaruhusu magoli ya offside ya Simba, magoli halali ya timu pinzani kufutwa. Kelele zilipigwa marefa wakawekwa semina. Mangugu anaweza kukuthibitishia kwamba Simba wanashinda kwa kununua waamuzi.
 
Yaani ukiwa yanga kweli akili zinaruka kiufupi kwenye CAF champion's league au UEFA kule kwa wazungu kila mtu anatumia uwanja wake wa nyumbani ndio kawaida ya mashindano hayo liverpool alikufa 3 pale kwa Barcelona ila Anfield alikufa 4 mtungi psg alipigwa 6 na Barcelona,

Wakati watu wanaamini game ilishaisha na juzi hapa Madrid kampiga PSG bernabeu hyo ni mifano tu kwa wazungu tukija africa hapa niletee takwimu za team iliyoshinda ugenini mechi zake zote au mechi mbili kwenye CAF champion's league halafu kuhusu Madrid sikusema ilikuwa mbovu ila wakati Madrid anachukua UEFA Barcelona ndo alikuwa bingwa wa league tena mara 7 mfululizo huku Madrid anachukua UEFA,

mara tatu mfululizo bila kuwa bingwa wa league point yangu ni kwamba league na mashindano ya kimataifa zinakuwa na aproach tofauti ila kabla hatujaendelea niletee team zilizo shinda ugenini mechi zote au angalau mechi mbili kwenye CAF champion's league ya africa nakusubira mkuu ili twende sawa.
Kwa nini Makolo washinde kwa Mkapa tu, huo ni ubora wa aina gani? Jibu liko wazi, wananunua waamuzi.
 
Nakukumbusha tu Orlando pirates yuko nafasi ya 5 kwenye msimamo wa league ya kwao nadhani umenielewa fuatilia team zinazo shiriki CAF champion's league angalia matokeo yao ya league halafu fuatilia CAF champion's league wanapata matokeo gani itoshe tu kusema league na CAF,

Ni tofauti unaona hata Ulaya real Madrid hata iwe mbovu vipi lakini UEFA inafanya vizuri hiyo tunasema experience matters than talent kawadanganye utopolo wenzio huko sisi tunawasubiri kimataifa ila simba kashakunja 1.4B kwenye CAF kwako utopolo na karia.
Mkumbushe kaizerchief alifika fainali ya klabu bingwa afrika matokeo yake ya nyumbani yalikuwaje
 
Mashabiki wa utopolo hawana akili kabisa luc eymael hakukosea kuwaita mambwa, nyani mnabweka bweka hovyo
 
Simba ilishinda away na ikafungwa nyumbani na Jwaneng Galaxy.

Sheria ya goli la ugenini iliwekwa kwa kuona timu nyingi zinapata shida kushinda ugenini na kuona timu nyingi zinapaki basi ugenini.

Nadhani uwepo wa corona umewafanya sheria waifute kwa vile hata advantage ya mashabiki kuwepo uwanjani haikuwepo.


Mpaka sasa hivi Simba ina uhakika wa 800M. Level ya umakini inakuwepo kimataifa. Na ikitokea imemtoa Orlando kama 200M inaongezeka kwa hii 800M. Na heshima juu.
Sheria ya goli la ugenini imefutwa wapi?
 
Hivi huwa ni uwezo wenu au Kuna la ziada??

Nimewaangalia mechi yenu ya juzi,
mkapata goli dakika ya 93, yaani mlishinda kama ajali tu, au kwa bahati mbaya, hamkucheza Mpira wowote wa maana zaidi ya bora liende.

Leo Mchezo wenu huu na wana usalama wetu, inanidhihirishia hii ndio tamati ya uwezo wenu, wala sitanii!

Mmecheza Mpira Mbovu, hamkufungwa kwa sababu wanausalama wenyewe hawakuwa makini golini kwenu.

Hii inanizidishia mashaka niliyonayo juu ya matokeo yenu na timu za nje na hasa mkiwa uwanja wa nyumbani.

Wachezaji ni hao hao, makocha ni hao hao, viongozi na mashabiki ni hao hao.

Kwani Kuna lipi la ziada wenzetu huwa mnafanya nje ya misingi ya Soka kinachowafanya wageni kila siku kuchoka kipindi cha pili?

Unajua mimi nilidhani hizi mechi za nyumbani ndo zingethibitisha uwezo wenu unaosemwa kimataifa, lakini dah, najionea mangolibo tu.

Najua badala ya kutafakari na kujitathmini mtalipuka kujibu kwa ghadhabu, lakini hapana, nina haki ya kueleza mashaka yangu, Kuna kitu hakiko sawa, kuna kitu kinaendelea na ninaamini wakati utaongea punde!

Msije kunijibu kwa mifano ya Timu zingine kubwa, Timu kubwa zinafungwa na zinatoka sare ndio soka, lakini wanakuonesha Ukubwa wao bhana!
Arsenal Jana kafungwa lakini unaona namna wanavyopambana, unauona Ukubwa wao na mwisho wa siku unasema kweli kuna bahati mbaya kwenye soka.

Anyways, acha tusubiri tuone, yetu macho
Man u juz wamepigwa, sikia wewe sio mdau wa soka , sema tu kwa kua mpira umekua very popular now day bas kila mtu anaufatilia,
Hakuna Tim haijawah fungwa , Jana umeona yanga wamepataje gori , isingekua Ile penalty wangetoka kbsa FA , na ingekua ni ligi bas wangetoka sare kama simba NBC ,

Simba tumekaziwa Sana , mbeya city, biashara

Tim kubwa zinakaziwa mno elewa Hilo ,
 
Hivi huwa ni uwezo wenu au Kuna la ziada??

Nimewaangalia mechi yenu ya juzi,
mkapata goli dakika ya 93, yaani mlishinda kama ajali tu, au kwa bahati mbaya, hamkucheza Mpira wowote wa maana zaidi ya bora liende.

Leo Mchezo wenu huu na wana usalama wetu, inanidhihirishia hii ndio tamati ya uwezo wenu, wala sitanii!

Mmecheza Mpira Mbovu, hamkufungwa kwa sababu wanausalama wenyewe hawakuwa makini golini kwenu.

Hii inanizidishia mashaka niliyonayo juu ya matokeo yenu na timu za nje na hasa mkiwa uwanja wa nyumbani.

Wachezaji ni hao hao, makocha ni hao hao, viongozi na mashabiki ni hao hao.

Kwani Kuna lipi la ziada wenzetu huwa mnafanya nje ya misingi ya Soka kinachowafanya wageni kila siku kuchoka kipindi cha pili?

Unajua mimi nilidhani hizi mechi za nyumbani ndo zingethibitisha uwezo wenu unaosemwa kimataifa, lakini dah, najionea mangolibo tu.

Najua badala ya kutafakari na kujitathmini mtalipuka kujibu kwa ghadhabu, lakini hapana, nina haki ya kueleza mashaka yangu, Kuna kitu hakiko sawa, kuna kitu kinaendelea na ninaamini wakati utaongea punde!

Msije kunijibu kwa mifano ya Timu zingine kubwa, Timu kubwa zinafungwa na zinatoka sare ndio soka, lakini wanakuonesha Ukubwa wao bhana!
Arsenal Jana kafungwa lakini unaona namna wanavyopambana, unauona Ukubwa wao na mwisho wa siku unasema kweli kuna bahati mbaya kwenye soka.

Anyways, acha tusubiri tuone, yetu macho
Hili nilishaliongelea hapa hawa jamaa figisu nyingi hasa wakiwa hapo kwa mkapa
Game yeyote nje ya hapo kwao ni kiyama....wee fikiria hawa wanashindwa kumfunga mbeya city kule mbeya tena mbeya city wanashinda game wakiwa nusu..!
Wanakuja kushindwa kumfunga Mtibwa kule mashamba ya miwa....eti leo hii timu kubwa toka nje gender marie inakuja kufa 4 kweli??
Ndio kusema gender marie ni dhaifu ghidi ya Mbeya city?
 
Kwa ulaya hakuna timu inakuwa na Guarantee ya kuwa lazima ya kupata matokeo nyumbani kwake maana hakuna kingine zaidi ya kucheza mpira, hivyo yeyote aliyejipanga vyema anaweza kupata matokeo.

Liverpool alitolewa kwa kufungwa goli tatu pale pale Anfield dhidi ya Atletico Madrid

Atalanta kafumulushiwa huko huko kwao dhidi ya vilareal
Chelsea kafungwa na Madrid hapo hapo darajani kwao
Benfica kafungiwa huko huko kwao
Juventus katolewa na kufungwa huko huko kwao
Ajax katolewa kwa kufungwa huko huko kwao
Man U kapigiawa huko huko kwao
Liverpool vs Inter walibadilishana tu uwanja, kila mmoja akishindia ugenini kwa mwenzie.
Lile kafungwa kwao dhidi ya chelsea.

Hizo ni baadhi ya mechi za hivi karibuni ulaya, kama hakuna kingine zaidi ya mpira kuchezeka uwanjani, timu yoyote inaweza kupata ushindi popote pale.

Kwa upande wa mashindano ya Caf

1) Orlando pirates kashinda mechi mbili away
2) Soura, Al Ittihad, pyramid, Al Ahl Tripol wameshinda away na kutoa sare
3) Mamelody hakupoteza hata mechi moja away
4) Raja Casablanca, Es Tunis na Wydad Casablanca washinda mechi mbili away

Zipo timu zilizopata ushindi wa mechi moja moja away kama vile Petro de Luanda, Amazulu, Es Setif, Belouizdad
Sawa utopolo yanga mechi za ugenini mmeshinda ngapi kimataifa kwa mpira mnaocheza yanga kimataifa nyie mtasulubiwa tu hamtoboi na wale wachezaji wenu wenye vitambi endeleeni kujidanganya hvyo hvyo sisi tupo league inakaribia kuisha tutawaona kimataifa wazee wa the return of champions.
 
Kwa nini Makolo washinde kwa Mkapa tu, huo ni ubora wa aina gani? Jibu liko wazi, wananunua waamuzi.
Kumbe simba ni team tajiri kama ndio hvyo waache kununua mechi ya dodoma jiji wakanunue mechi ya CAF si mlisema simba haina hela sasa hzo za kuwapa waamuzi wanazitoa wapi.
 
Back
Top Bottom