Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

Baada ya kufirisika eee,nani asiyewajua ninyi? Mlikuwa na sifa sana kipindi cha usajili huo ueledi mmeamza lini?
 
kuchukua mara nne mfululizo sio mafanikio? kufika robo fainali miaka mitano mfululizo sio mafanikio? kabla ya huyo muhindi mlikua mnaishia wap?
Muogope Mungu ndugu miaka mingapi? Ni miaka 4 sio 5 na ndani ya hyo miaka kuna mwaka mlitolewa mapemaaa na ud songo na juzi hp mkapopolewa na galaxy msijisahaulishe
 
Muda ni mwalimu mzuri usije meza maneno
 
Mara 5 mfululizo? Hebu tukumbushane vzr miaka ipi hyo kwa kumbukumbu zng mambo hayo wananchi ndio huwa tunafanya rekodi zipo
 
Hebu sema wazi hapa, ni kiasi gani cha fedha zako zimepigwa pale Simba Sc?
 
[emoji867]
 
Timu km Ahly,Wydad,Berksane hawakuwa siriaz sana yaani sio kipaumbele chao wana wachezaji wengi level ya Aziz au hata zaidi ya Aziz wangeamua hasa Yanga tusingeweza bishana nao huo ndio ukweli ila nyie hamna hela ya kubishana nasi kifedha kwa sasa
Wewe umeujua vipi utajiri wa Simba na ule wa Yanga kiasi cha kuulinganisha??
 
Mkuu Kuna mijinga humu Hadi sio poa .

Hao hao viongozi ndio hutuletea taarifa kutaka kutuhadaa alafu wakifel sisi tufanyeje badala ya kuwaona wanaleta siasa kwenye mpira.

Sasa Kuna michawa humu haitak tuongee et kisa hatutoi hela za kulipa mishahara hao wachezaji .
 
Unaongelea usajili wa Hinonga, Sakho na Kanoute?
 
Sasa mtafanya nini?
 
Walalamikaji wengi hawana mchango wa aina yoyote, hawanunui jezi, hawaendi uwanjani, hawalipiii uanachama, sio mashabiki
 
Ananiuzi mugalu kutafuna bigi jii ndo anachojua, msieeeew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…