Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

Kwenye pesa ya usajili wewe unatoa sh ngapi? Ikiwa tu mashabiki wote wa Simba kwenye changizo linaloendelea kwa wiki 1 na siku kadhaa ndo kwanza wapo milion 100!?
Unaweza kulazimisha Everton imsajili Mbape kisa tu zote ni timu za Ulaya?
Akijibu nishtue
 
Hata kabla ya Mo dewji kuja kuwekeza pale Simba washachukua ligi Mara tano mfululizo na hata kufika fainali ya Caf champions league

Mafanikio ya mpira ni kushinda vikombe au mataji makubwa kama lilivyo lengo la simba

Timu nyingi zinazofanya vzr duniani wamiliki wake ni waarabu kama alivyo Gharib Said Mohammed
unamaanisha waarabu wa man city ama wapi hao
 
yaani tunavyojua kulalamika ilhali hatuchangii chochote kwenye ustawi wa klabu zaidi ya maneno,,tuache wanaoweka hela zao waamue wanchotaka......
Nadhani Simba na Yanga waamzishe uhamasishaji wa mashabiki wao kuchangia vilabu vyao kila mwezi
 
Hii club naipenda lakini naanza kuwachukia viongozi kwa sababu naona kama wana hila na hawana mapenzi mema na timu.

Kwanza kwa kumuacha Adebayo na kusingizia timu nyingine zimeonesha interest zaidi kwake na wakazidiwa dau.Pili Aziz K naye sasa ameshasajiliwa Utopolo.

Kibaya zaidi mmemuacha Morrison na nina uhakika hakuna mchezaji mnaweza kusajili mwenye uwezo kama Morrison kwa sasa.

Katika kutafuta kocha naona mnatafuta kocha ili mradi tu awe mzungu.Je mna uhakika hatakuja na masharti yake na chuki za kizungu kuchukia tu wachezaji asiowapenda?

Kama pesa hamna,kwa nini mlikataa zile bilioni za Azam?mnataka kutuletea akina George Mpole wachezaji wajinga wajinga wasio na attitude za mpira.
Simba mnatuchosha mapema sana
Kisa Aziz Ki na Adebayor!! nchi ina mashabiki wa ovyo hii
 
Mashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH[emoji1].

Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?

Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?

Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.
Kama we ni mpigaji jipange sana.
Hiyo crisis ni ipi na nani anaijua?
Usijisahau na kututukana sie mashabiki ndio tunaipa nguvu club.
Lazima tuwalaumu kwa uongozi wa hovyo kwani hiyo miaka 4 wengine mlikuwa kama sisi tu.
Mwisho acheni kujidai wazungu wakati mnacheza ngoma za kibongo tu
 
Ninachokiona Msimbazi kwasasa ni weredi ñdio unafanya kazi. Kabla ya kusajili ni lazima uwe na kocha.
kinachotusumbua baadhi yetu ni uswahili tuliouzoea. Huo uswahili uliotamaraki kwa sasa uchurani ndio unafanya muone simba haipo serious. Binafsi naipenda style ya simba kwa sasa.
Simba iendelee na iyo iyo staili ya kuokoteza wachezaji walioachwa na wazee lakini wale wanaoonekana wana uswahili wataendelea kuvunja mikataba ya wachezaji wazuri kwa dau lolote alafu mwisho wa siku zile story za wananunua mechi zitaanza kurudi kwa kasi
 
Jambo kubwa na la muhimu kwa Simba ni kutafuta kocha.

Baada ya kumpata Kocha ndio yeye afanye usajili na sio Viongozi wafanye usajili bila kufuata mahitaji na matakwa yake. Na ndicho kinachofanyika kwa sasa.
Kwaiyo kocha atapatikana ndani ya huu muda mfupi na hapo hapo aanze usajili wa wachezaji na kutuma majina kabla ya trh 30 june, hao wachezaji wa kimataifa anafika tu na kujizolea haraka haraka bila mazungumzo wala nini?
 
Ikiwa MO na viongozi aliowaweka ndio shida, maana yake ni kwamba akiwapisha ndo mtakuwa mnafanikisha usajili mzuri? Kwani ilikuwa ni lazima amsajili Aziz Ki?

Ikiwa Simba kufeli msimu mmoja kumewatoa akili kiasi hiki, kwanini nisiwaite wajinga?? Nyinyi ni wajinga tu, tena wajinga sana.

Huko nyuma Simba Sc haikuwa chini ya Mo mlipata nini zaidi ya kusindikiza ligi tu? Punguzeni ujuaji kwenye pesa za watu kutaka zitumike kama mnavyotaka nyinyi, ilihali nyinyi hachangii hata senti.
Wewe ni mmoja wapo wa wapumbavu tu.
Kwani waliotuambia kuwa Simba inaweza kumsajili mchezaji yoyote ni akina nani?

Ni nani waliotuambia wanataka kumsajili Adebayo?Au Aziz K?Sio hao hao viongozi kujaribu kutufanya sisi maembe?

Kama kweli ni hawana hela,kwa nini walikataa udhamini wa Azam TV?
Au kama kweli hawana pesa,kwa nini hawauzi kadi za uanachama na watu wengi wanazihitaji?

Tusichoshane,sisi mashabiki hatutaki upumbavu kutuletea maneno ya janja janja na kutumia magazeti uchwara kuleta sifa za kijinga.
Kama hawana hela waseme sio kujipiga vifua wakati hawana moyo wa kutoa au hawana hizo pesa
 
yaani tunavyojua kulalamika ilhali hatuchangii chochote kwenye ustawi wa klabu zaidi ya maneno,,tuache wanaoweka hela zao waamue wanchotaka......
Wewe ndiye huchangii chochote.
Tunafanya mengi sana kusapoti timu.Hawa watu wa hache wasituletee upuuzi wao
 
Tatizo watz mumezoea kudanganywa
Sasa Adeboyor kama amewekewa dau kubwa na timu nyingine ulitaka wakuambie tumemsajiri ili wakufarahishe wewe?

simba ya sasa haipo hivyo sisi hizo zama za mawe za kugombania wachezaji na MAKABMWILI tushaziacha.
NB: WACHEZAJI WAZURI WAPO WENGI AFRICA SIO VICTORIEN NA KI AZIZ TU HAO WAMEPATA UMAARUFU KWA KUIFUNGA SIMBA .
Hayo maneno ya mkosaji mliacha lini kutogombea wachezaji? Si juzi tu hp mlitupiga bao kwa Bwalya na Konde boy? Safari hii tu hamna pumzi huo ndio ukweli tumewapiga bao kwa Aucho,Djuma,Ki Aziz na bado tutawanyoosha sanaaaaa
 
Mashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH[emoji1].

Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?

Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?

Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.
Timu km Ahly,Wydad,Berksane hawakuwa siriaz sana yaani sio kipaumbele chao wana wachezaji wengi level ya Aziz au hata zaidi ya Aziz wangeamua hasa Yanga tusingeweza bishana nao huo ndio ukweli ila nyie hamna hela ya kubishana nasi kifedha kwa sasa
 
Hakuna haja ya kuwalaumu viongozi wetu kwenye usajili. Kama namna gani vipi tuchangishane tupate wachezaji wenye hadhi na klabu yetu.
Tuchangishane kwani nini dhumuni la kubadili mfumo wa Club na kumpatia mwekezaji Mwamedi?
 
Back
Top Bottom