Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani hata wakinunua kikubwa endelee kuwa yangaMali yetu ni furaha tu,hakuna timu ya kukupatia hela zaidi ya furaha
haya mpira wa sasa mnajifanya mnaibua vipaji au cio kama akina banda,kanote mtachua champions leagueTatizo watz mumezoea kudanganywa
Sasa Adeboyor kama amewekewa dau kubwa na timu nyingine ulitaka wakuambie tumemsajiri ili wakufarahishe wewe?
simba ya sasa haipo hivyo sisi hizo zama za mawe za kugombania wachezaji na MAKABMWILI tushaziacha.
NB: WACHEZAJI WAZURI WAPO WENGI AFRICA SIO VICTORIEN NA KI AZIZ TU HAO WAMEPATA UMAARUFU KWA KUIFUNGA SIMBA .
but ukweli ni kuwa hamsajili kwa pesa zinazoeleweka mnaokotanaMashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH[emoji1].
Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?
Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?
Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.
Kwahiyo tukubali kuwa MO kafirisika?😄.but ukweli ni kuwa hamsajili kwa pesa zinazoeleweka mnaokotana
Shida ni njaa za baadhi ya viongozi ,hapo mtu anayetetea mugalu abaki anawinda 10 percent kutoka kwa mugalu na washakaa kuwa acha nikupambanie lakin nikifanikiwa utanipa hiki na hiki,Sasa timu ya hivyo et inataka kufika mbali kimataifa si upumbavu huu.Hakuna jipya pale simba kwa Sasa hivi. Zimebaki siasa tupu za viongozi.
Viongozi wenye nia njema na simba hawawezi kugawanyika kumjadili Mugalu et abaki au aondoke.Mchezaji wa kigeni goli 0 ligi kuu bado unamjadili et abaki au la! Upuuzi mtupu.
Wachezaji aina ya Mugalu hapa Tz ni wengi mno lakini kiongozi anakaa kumtetea Mugalu apewe mkataba mpya halafu useme wako serious na usajili kweli?
Wewe ndie mjinga pia mshamba ,kwani hizo habar za akina aziz na adebayor walizileta mashabik au viongozi wenyewe kwa kutaka attention kwa mashabiki?Mashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH[emoji1].
Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?
Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?
Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.
Hata gsm ndio wale wale tu ,Hadi msola kaamua kujitoa ashaona upimbi unaoendelea ,na bahat nzur mashabik wanafurahia injinia kuwa rais Ila muda utaongea tu.Tuliofanya kazi na Wahindi kwa miaka mingi,tunaelewa anachokifanya Mo dewji pale Simba
Wewe ni noya mkuu, boya tena boya haswa!!! Hujui kituWewe ndie mjinga pia mshamba ,kwani hizo habar za akina aziz na adebayor walizileta mashabik au viongozi wenyewe kwa kutaka attention kwa mashabiki?
Tunachopinga hapa ni siasa kwenye mpira maneno mengi alafu vitendo zero.
Hakuna anayelalamika et ni lazima Simba iwe anachukua yenyew ubingwa kila msimu huo hautakua mpira Sasa.
Swala hapa ni userious wa viongozi wenyewe ,wanaleta siasa za kindez ili kuendelea kupata mtaji wa kiongelewa.
Kwan wnagekaa kimya na kusajir kwa uweled nan angelalamika?
Shida kutaka kuwafanya mashabik km mtaji wa kujizolea sifa za kipumbavu.
Siku nyingine acha kudharau wabongo maana sio wanaoleta huo upumbavu huku mitandaoni
Ikiwa MO na viongozi aliowaweka ndio shida, maana yake ni kwamba akiwapisha ndo mtakuwa mnafanikisha usajili mzuri? Kwani ilikuwa ni lazima amsajili Aziz Ki?Wewe ndie mjinga pia mshamba ,kwani hizo habar za akina aziz na adebayor walizileta mashabik au viongozi wenyewe kwa kutaka attention kwa mashabiki?
Tunachopinga hapa ni siasa kwenye mpira maneno mengi alafu vitendo zero.
Hakuna anayelalamika et ni lazima Simba iwe anachukua yenyew ubingwa kila msimu huo hautakua mpira Sasa.
Swala hapa ni userious wa viongozi wenyewe ,wanaleta siasa za kindez ili kuendelea kupata mtaji wa kiongelewa.
Kwan wnagekaa kimya na kusajir kwa uweled nan angelalamika?
Shida kutaka kuwafanya mashabik km mtaji wa kujizolea sifa za kipumbavu.
Siku nyingine acha kudharau wabongo maana sio wanaoleta huo upumbavu huku mitandaoni
Utopoloni wanausika vipi na Mchoko wa Viongozi wa Simba....!?Ko unataka kusema pale utopoloni Msolla ana sauti kama siyo kufungua vikao na kufunga tu? Tuwache ushabiki mandazi. yaliyoko simba ndo yaleyale yaliyoko Yanga . Sasa sijui huu ujasiri wa kuwanyooshea vidole upande mwingine mnautoa wapi!
Kama ilivyo Simba kuwa mikononi mwa Mo. Simba hawana chaoRasmi ; Yanga Sasa mali ya GSM .Wananchi hawana chao tena.
Siku zote wachezaji wazuri wanagombewa. Ukiona mchezaji hagombaniwi na timu ujue huyo ni galasaTatizo watz mumezoea kudanganywa
Sasa Adeboyor kama amewekewa dau kubwa na timu nyingine ulitaka wakuambie tumemsajiri ili wakufarahishe wewe?
simba ya sasa haipo hivyo sisi hizo zama za mawe za kugombania wachezaji na MAKABMWILI tushaziacha.
NB: WACHEZAJI WAZURI WAPO WENGI AFRICA SIO VICTORIEN NA KI AZIZ TU HAO WAMEPATA UMAARUFU KWA KUIFUNGA SIMBA .
AsanteTuliofanya kazi na Wahindi kwa miaka mingi,tunaelewa anachokifanya Mo dewji pale Simba
Usiyempenda huwezi kuona jema linalotendeka kwake. Zaidi ni kumuombea mabayaHata gsm ndio wale wale tu ,Hadi msola kaamua kujitoa ashaona upimbi unaoendelea ,na bahat nzur mashabik wanafurahia injinia kuwa rais Ila muda utaongea tu.
Simba na yanga ni wale wale tu kwa kila idala Hakuna wa kumnyoshea kidole mwenzio kote Kuna ujanja ujanja tu.
Kula like ya nguvu mkuu...😀👍Mashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH😄.
Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?
Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?
Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.