Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

Tatizo watz mumezoea kudanganywa
Sasa Adeboyor kama amewekewa dau kubwa na timu nyingine ulitaka wakuambie tumemsajiri ili wakufarahishe wewe?

simba ya sasa haipo hivyo sisi hizo zama za mawe za kugombania wachezaji na MAKABMWILI tushaziacha.
NB: WACHEZAJI WAZURI WAPO WENGI AFRICA SIO VICTORIEN NA KI AZIZ TU HAO WAMEPATA UMAARUFU KWA KUIFUNGA SIMBA .
haya mpira wa sasa mnajifanya mnaibua vipaji au cio kama akina banda,kanote mtachua champions league
 
Mashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH[emoji1].

Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?

Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?

Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.
but ukweli ni kuwa hamsajili kwa pesa zinazoeleweka mnaokotana
 
Hakuna jipya pale simba kwa Sasa hivi. Zimebaki siasa tupu za viongozi.

Viongozi wenye nia njema na simba hawawezi kugawanyika kumjadili Mugalu et abaki au aondoke.Mchezaji wa kigeni goli 0 ligi kuu bado unamjadili et abaki au la! Upuuzi mtupu.

Wachezaji aina ya Mugalu hapa Tz ni wengi mno lakini kiongozi anakaa kumtetea Mugalu apewe mkataba mpya halafu useme wako serious na usajili kweli?
Shida ni njaa za baadhi ya viongozi ,hapo mtu anayetetea mugalu abaki anawinda 10 percent kutoka kwa mugalu na washakaa kuwa acha nikupambanie lakin nikifanikiwa utanipa hiki na hiki,Sasa timu ya hivyo et inataka kufika mbali kimataifa si upumbavu huu.

Yaan mugalu ndie akufikishe mbali ,mchezaji anayecheza kwa kutumia minguvu badala ya akili !

Yetu macho ,Yale Yale mbwembwe nyingi mwisho wa siku wakamsajil chama tu.
 
Mashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH[emoji1].

Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?

Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?

Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.
Wewe ndie mjinga pia mshamba ,kwani hizo habar za akina aziz na adebayor walizileta mashabik au viongozi wenyewe kwa kutaka attention kwa mashabiki?

Tunachopinga hapa ni siasa kwenye mpira maneno mengi alafu vitendo zero.

Hakuna anayelalamika et ni lazima Simba iwe anachukua yenyew ubingwa kila msimu huo hautakua mpira Sasa.

Swala hapa ni userious wa viongozi wenyewe ,wanaleta siasa za kindez ili kuendelea kupata mtaji wa kiongelewa.

Kwan wnagekaa kimya na kusajir kwa uweled nan angelalamika?

Shida kutaka kuwafanya mashabik km mtaji wa kujizolea sifa za kipumbavu.

Siku nyingine acha kudharau wabongo maana sio wanaoleta huo upumbavu huku mitandaoni
 
Tuliofanya kazi na Wahindi kwa miaka mingi,tunaelewa anachokifanya Mo dewji pale Simba
Hata gsm ndio wale wale tu ,Hadi msola kaamua kujitoa ashaona upimbi unaoendelea ,na bahat nzur mashabik wanafurahia injinia kuwa rais Ila muda utaongea tu.
Simba na yanga ni wale wale tu kwa kila idala Hakuna wa kumnyoshea kidole mwenzio kote Kuna ujanja ujanja tu.
 
Wewe ni shabiki oya oya na bota uliyeshikiwa akili na manara... achana na simba sababu mi wazi kwako mchezaji anayetakiwa na yanga unaamini lazimana simba wamtake... unoya wa sgr huu...
 
Wewe ndie mjinga pia mshamba ,kwani hizo habar za akina aziz na adebayor walizileta mashabik au viongozi wenyewe kwa kutaka attention kwa mashabiki?

Tunachopinga hapa ni siasa kwenye mpira maneno mengi alafu vitendo zero.

Hakuna anayelalamika et ni lazima Simba iwe anachukua yenyew ubingwa kila msimu huo hautakua mpira Sasa.

Swala hapa ni userious wa viongozi wenyewe ,wanaleta siasa za kindez ili kuendelea kupata mtaji wa kiongelewa.

Kwan wnagekaa kimya na kusajir kwa uweled nan angelalamika?

Shida kutaka kuwafanya mashabik km mtaji wa kujizolea sifa za kipumbavu.

Siku nyingine acha kudharau wabongo maana sio wanaoleta huo upumbavu huku mitandaoni
Wewe ni noya mkuu, boya tena boya haswa!!! Hujui kitu
 
Wewe ndie mjinga pia mshamba ,kwani hizo habar za akina aziz na adebayor walizileta mashabik au viongozi wenyewe kwa kutaka attention kwa mashabiki?

Tunachopinga hapa ni siasa kwenye mpira maneno mengi alafu vitendo zero.

Hakuna anayelalamika et ni lazima Simba iwe anachukua yenyew ubingwa kila msimu huo hautakua mpira Sasa.

Swala hapa ni userious wa viongozi wenyewe ,wanaleta siasa za kindez ili kuendelea kupata mtaji wa kiongelewa.

Kwan wnagekaa kimya na kusajir kwa uweled nan angelalamika?

Shida kutaka kuwafanya mashabik km mtaji wa kujizolea sifa za kipumbavu.

Siku nyingine acha kudharau wabongo maana sio wanaoleta huo upumbavu huku mitandaoni
Ikiwa MO na viongozi aliowaweka ndio shida, maana yake ni kwamba akiwapisha ndo mtakuwa mnafanikisha usajili mzuri? Kwani ilikuwa ni lazima amsajili Aziz Ki?

Ikiwa Simba kufeli msimu mmoja kumewatoa akili kiasi hiki, kwanini nisiwaite wajinga?? Nyinyi ni wajinga tu, tena wajinga sana.

Huko nyuma Simba Sc haikuwa chini ya Mo mlipata nini zaidi ya kusindikiza ligi tu? Punguzeni ujuaji kwenye pesa za watu kutaka zitumike kama mnavyotaka nyinyi, ilihali nyinyi hachangii hata senti.
 
Ko unataka kusema pale utopoloni Msolla ana sauti kama siyo kufungua vikao na kufunga tu? Tuwache ushabiki mandazi. yaliyoko simba ndo yaleyale yaliyoko Yanga . Sasa sijui huu ujasiri wa kuwanyooshea vidole upande mwingine mnautoa wapi!
Utopoloni wanausika vipi na Mchoko wa Viongozi wa Simba....!?

Ukweli huwa unajisimamia wenyewe,, usikwepe Ukweli Dk Mudi Dewji amewapotezea focus Simba na uwekezaji wake wa kihindi hindi pale msimbazi
 
Tatizo watz mumezoea kudanganywa
Sasa Adeboyor kama amewekewa dau kubwa na timu nyingine ulitaka wakuambie tumemsajiri ili wakufarahishe wewe?

simba ya sasa haipo hivyo sisi hizo zama za mawe za kugombania wachezaji na MAKABMWILI tushaziacha.
NB: WACHEZAJI WAZURI WAPO WENGI AFRICA SIO VICTORIEN NA KI AZIZ TU HAO WAMEPATA UMAARUFU KWA KUIFUNGA SIMBA .
Siku zote wachezaji wazuri wanagombewa. Ukiona mchezaji hagombaniwi na timu ujue huyo ni galasa
 
Hata gsm ndio wale wale tu ,Hadi msola kaamua kujitoa ashaona upimbi unaoendelea ,na bahat nzur mashabik wanafurahia injinia kuwa rais Ila muda utaongea tu.
Simba na yanga ni wale wale tu kwa kila idala Hakuna wa kumnyoshea kidole mwenzio kote Kuna ujanja ujanja tu.
Usiyempenda huwezi kuona jema linalotendeka kwake. Zaidi ni kumuombea mabaya
 
Ninachokiona Msimbazi kwasasa ni weredi ñdio unafanya kazi. Kabla ya kusajili ni lazima uwe na kocha.
kinachotusumbua baadhi yetu ni uswahili tuliouzoea. Huo uswahili uliotamaraki kwa sasa uchurani ndio unafanya muone simba haipo serious. Binafsi naipenda style ya simba kwa sasa.
 
Mashabiki wa Tz(kibongo) ni wajinga sana, nadhani hii inaletwa kukosekana kwa exposure miongoni mwao. Team imefanya vizuri ndani ya miaka minne na kuwapa burudani ya kutosha ila leo wanalalamika utafikiri wameikosa ubingwa kwa miaka kumi, au labda team ineshuka daraja, au pengine imeshindwa kufuzu CAFCL, DAAAAAH😄.

Pale Simba Sc kuna critical problems zilizotokea msimu uliopita, sasa watu wapo busy kutafuta ufumbuzi ila mashabiki mpo busy kulalamika mnataka Simba Sc ianze kushindania wachezaji, huu sio ujinga?

Wengine utasikia MO kaishiwa hela na sababu yenyewe ni kutomsajili Aziz Ki, haya hizo team kubwa zote Africa (Ahly, Wydad, Eserence,Mamelod, Pirates,Berkane...nk) zenye mpunga wa maana mbona hazijamsajili ikiwa kigezo ni pesa? MO anaishiwaje pesa kwa kitu merely kama kuongoza Simba Sc kitimu kidogo tu?

Acheni ujinga aiseeh, huko ulaya team zinakosa makombe miaka 30 au 10 lakini mashabiki hawawezi kuwa mentality za kijinga hivi.
Kula like ya nguvu mkuu...😀👍
 
Back
Top Bottom