changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Mkuu kumbuka deal line tarehe 30 mwezi huu, leo tarehe 12Ninachokiona Msimbazi kwasasa ni weredi ñdio unafanya kazi. Kabla ya kusajili ni lazima uwe na kocha.
kinachotusumbua baadhi yetu ni uswahili tuliouzoea. Huo uswahili uliotamaraki kwa sasa uchurani ndio unafanya muone simba haipo serious. Binafsi naipenda style ya simba kwa sasa.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app