GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujenz ilikuwa ya rukwa kiongozAlafu Zenji kuna;
-Small Simba,
-Malindi,
-Mlandege.
Ukirudi bara;
-biashara shinyanga
-rtc kagera kina mkama ntare
-ushirika ya moshi
-ujenzi hii sikumbuki ilikuwa ya wapi, sijui Rukwa???
kabisa mkuu enzi hzo ata watangazaji walikua na mbwembwe nyingi kwenye kutangaza mpira .wanakufanya ujihis kama unaangalia live kina ahmed jongo,dominic chilambo(Rip),seid mwinyi,omar jongo nk.Nakumbuka niko mkoani saa mbili kasorobo usiku tuko redioni rtd kusubiri matokeo ya mechi zingine kipindi cha michezo.
Siyo lazima kushiriki kuchangia katika kila thread mkuu!! kuna thread za kusoma tu na kusepa kuwaacha wahusika waendelee.umefurahi sana? Jamba basi tunuse harufu yako ya ushuzi
Hujui alichotaka huyo tacco.. bora ukae kimya tu na wewe hatujadili mambo ya pink...pls stay away this is not your fight man...!Siyo lazima kushiriki kuchangia katika kila thread mkuu!! kuna thread za kusoma tu na kusepa kuwaacha wahusika waendelee.
Kwa sasa ayo mambo sahau ,Mkuu habari ya pressure kwa sasa ni timu zote ispokua Madrid, Barca na Bayern zote ulaya tu. Timu kongwe za Afrika wanakua msimu mmoja vizuri msimu vibaya.Rest in peace sana Kocha James Aggrey Siang'a
- Juma Kaseja
- Said Swedi
- Ramadhani Wasso
- Boniface Pawasa
- Patrick Betwel Buba ' Mmasai '
- Seleman Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia
- Steven Mapunda ' Garincha '
- Shekhan Rashid ' Fundi '
- Joseph Kaniki ' Golota '
- Emanuel Gabriel Mnyakyusa ' Batigol '
- Ulimboka Mwakingwe
zama zimebadirika, siku izi ni mwendo wa biashara tu kila sector. Sio kuchezea burudani. Ujanja ujanja tuRest in peace sana Kocha James Aggrey Siang'a
- Juma Kaseja
- Said Swedi
- Ramadhani Wasso
- Boniface Pawasa
- Patrick Betwel Buba ' Mmasai '
- Seleman Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia
- Steven Mapunda ' Garincha '
- Shekhan Rashid ' Fundi '
- Joseph Kaniki ' Golota '
- Emanuel Gabriel Mnyakyusa ' Batigol '
- Ulimboka Mwakingwe
Kweli mkuu mwandishi angetoa na mwaka au msimu waliocheza ili tuwaulizie baba zetu.Wengi wetu humu JF katika Kikosi hiki ulichokitaja hapa tulikuwa katika ' Mabeseni ' tunapiga piga tu maji tukisubiri ' Kuogeshwa ' na kwenda kunyweshwa ' Uji ' wa ' Buruga '.
wew uwe direct tu,ulitaka kumpgia chapuo Ali mayay, ila ukamruka kiaina. Ogopa siasa ya uchaguzi bongo.Ah
Salvatory Edward, waziri mahadhi ,sekilojo chambua ,Fred Mbuna,iddi moshi ,
Kiboko ya simba hiyo
Victor Costa "Nyumba"... Jamaa alimkaba Osam Hasan,lile li striker hatari la Ismailia pale shamba la bibi.Hadi jamaa akataka kukimbia uwanjani...Aisee na Uyanga wangu lakini kile kikosi cha simba hata mimi nlikikubali aisee.Kina Yusuph Macho " Muso".Hapo umemsahau christopher alex massawe
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Acha matusi...[emoji23] [emoji23] [emoji23]hapo kwenye 5. Victor Costa (Patrick Betwel ni season ya nyuma yake), pia Kureshi Ufunguo kabla ya Waso? Christopher Alex na Ulimboka kwenye 4 na 11. , season iliyofuata, (walitoka reli ya morogoro) No. 11. Mark Sirengo. Afu kwa ndani sometime pia alikuwa Madaraka na Nteze John. Tusker Cup yanga chini ya Tarimba ilipigwa 4-1, la tano Shekhan Rashid aliwaonea huruma akaurudishia ndani dana dana mpira ukaisha. Goli la tatu yanga walianza kurusha chpa za maji n.k.!
Zamoyoni mogellaOmar mahadh
Kajole
Shaban baraza
Daud salim
Aluu Alli
Umar Gumbo
Khaidar
Athuman Mambosasa
King Kibaden
Ezekiel G Jujuman
Abbas Dilunga
Malota soma
Abdallah Mwinyimkuu
hebu endeleza