mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Usindikizaji nao unatofauliana. Anayesindikiza na ndala miguuni hufika mbali kuliko anayesindikiza miguu peku.Imezuka kasumba kwa washabiki na wapenzi wa klabu ya Simba S.C kutamba kuwa wao ndio wawakilishi wazuri kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu, Je wamewahi shinda nini huko kwenye hayo mashindano ya kimataifa? Au nao ni wasindikizaji tu kama wasindikizaji wengine?
Nashukuru umekubali kuwa Simba S.C nao ni wasindikizaji kimataifa kama hao wasindikizaji wengine, kwaio Hawa watu wanaotamba kuwa Simba S.C ni babalao kimataifa wanatakiwa wakapimwe akili??Usindikizaji nao unatofauliana. Anayesindikiza na ndala miguuni hufika mbali kuliko anayesindikiza miguu peku.
Wape simba heshima yao wamefanya ukapanda ndege kwenda kumwagiwa nje ute unaoteleza huko Nigeria na River united
Usindikizaji nao unatofauliana. Anayesindikiza na ndala miguuni hufika mbali kuliko anayesindikiza miguu peku.
Wape simba heshima yao wamefanya ukapanda ndege kwenda kumwagiwa nje ute unaoteleza huko Nigeria na River united
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2066475
Mpewe heshima kwa vipigo hivu?
Mkuu hiyo karatasi ya ivo vipigo naona kama vile imechapishwa na Haji ManaraView attachment 2066475
Mpewe heshima kwa vipigo hivu?
Ivi Hayo Nayo Ni Makombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tusker Cup mara 6 (mshindi wa pili mara 1)
Cecafa Cup mara 5 (mshindi wa pili mara 6)
CAF mshindi wa pili mara 1.
Set the record straight. Weka za Yanga.
Makolo wanalazimisha history iwafute kwenye record hiyo ya vipigo.Mkuu hiyo karatasi ya ivo vipigo naona kama vile imechapishwa na Haji Manara
Kumbe tunaposema Simba S.C babalao kimataifa tunakuwa tunamaanisha waliwahi chukua Tusker cup 6 na Kagame cup 5???Tusker Cup mara 6 (mshindi wa pili mara 1)
Cecafa Cup mara 5 (mshindi wa pili mara 6)
CAF mshindi wa pili mara 1.
Set the record straight. Weka za Yanga.
Imezuka kasumba kwa washabiki na wapenzi wa klabu ya Simba S.C kutamba kuwa wao ndio wawakilishi wazuri kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu, Je wamewahi shinda nini huko kwenye hayo mashindano ya kimataifa? Au nao ni wasindikizaji tu kama wasindikizaji wengine?
Sasa makasiriko ya nini? Kichwa cha habari kinahusu nini?Akili za mashabiki wa utopolo(yanga) ni za kipumbavu na kijinga sana!
Ni mazwazwa ya hovyo kabisa…
Wewe si umetaka vikombe vya kimataifa ndo hivyo sasa!Ivi Hayo Nayo Ni Makombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa makasiriko ya nini? Kichwa cha habari kinahusu nini?
Iyo kagame cup na Tusker cup unakumbuka mmechukua mara ya mwisho lini ?Wewe si umetaka vikombe vya kimataifa ndo hivyo sasa!
Au ungesema kwenye uzi wako ili tujue vikombe vipi vya kimataifa unavyotaka wewe.
Huo muda wa kukomenti vitu visivyohusiana na Mada si ungeutumia kupiga mswaki ili ulale kinywa chako kikiwa safiKwani yule aliyewaita nyani ilikua makasiriko?
Basi Makombe Yenyewe Ndo Hayo Muache Kutupigia Kelele Aisee..Wewe si umetaka vikombe vya kimataifa ndo hivyo sasa!
Au ungesema kwenye uzi wako ili tujue vikombe vipi vya kimataifa unavyotaka wewe.
Huo muda wa kukomenti vitu visivyohusiana na Mada si ungeutumia kupiga mswaki ili ulale kinywa chako kikiwa safi