Simba haijawahi mbeba yanga kwenda kimataifa, na haina uwezo huo yanga anaenda kimataifa kutokana na kuwa mshindi wa pili (sasa nambie huo ushindi wa pili wa yanga simba ndo alichangia Ama juhudi zake)Nyie mshaibeba simba mara ngapi kwenda kimataifa?heshimu anaekubeba kila msimu kwenda kushiriki kimataifa...tofaut na hapo tutaamua ss iv aende hata mtibwa sugar maana nyie kila mkienda ni kututia tu aibu huko nje
Data zako za 1978 hadi 1992 ni zote ni za uwongoView attachment 2066475
Mpewe heshima kwa vipigo hivu?
Tafuta mchezo mwingine ushabikie. Kuwa timu bora siyo lazima uchukue kombe. Belgium ndiyo timu bora ya taifa duniani kwa zaidi ya miaka minne. Lakini hawajawahi chukua kombe loloteImezuka kasumba kwa washabiki na wapenzi wa klabu ya Simba S.C kutamba kuwa wao ndio wawakilishi wazuri kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu, Je wamewahi shinda nini huko kwenye hayo mashindano ya kimataifa? Au nao ni wasindikizaji tu kama wasindikizaji wengine?
Mabingwa wa kihistoria Kagame cup, Simba Super Cup 2021Imezuka kasumba kwa washabiki na wapenzi wa klabu ya Simba S.C kutamba kuwa wao ndio wawakilishi wazuri kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu, Je wamewahi shinda nini huko kwenye hayo mashindano ya kimataifa? Au nao ni wasindikizaji tu kama wasindikizaji wengine?
Mshindi wa pili hana uwakilishi kwenye kombe mashindano yoyote. kwenye Champions league anashiriki bingwa na shirikisho anashiriki bingwa wa FA. Mbumbumbu weweSimba haijawahi mbeba yanga kwenda kimataifa, na haina uwezo huo yanga anaenda kimataifa kutokana na kuwa mshindi wa pili (sasa nambie huo ushindi wa pili wa yanga simba ndo alichangia Ama juhudi zake)
Iyo mada mpya sasa kama vipi ianzishie thread twende nayo ila uweke na mipaka ukisema kimataifa unamanisha nchi zipi au wapi na wapi ili ukipewa majibu usihamishe magoli,ila swali la huu uzi si mshalipata?Huwa nadhani mnaposema Simba ni wakimataifa mnamaaisha mashindano ya caf kumbe ni wakimataifa kwa Tusker na Kagame cup?
Simba ni lini imeleta furaha kimataifa? Ni mwaka gani ambao imeleta kikombe cha caf? Au wewe unafurahia Simba S.C kutolewa kwa goli 4 na TP Mazembe na Kaizer Chief?Nyie mshaibeba simba mara ngapi kwenda kimataifa?heshimu anaekubeba kila msimu kwenda kushiriki kimataifa...tofaut na hapo tutaamua ss iv aende hata mtibwa sugar maana nyie kila mkienda ni kututia tu aibu huko nje
Haijawahi kushinda kombe lolote CAF, kwa Afrika Mashariki ni GorMahia pekee kutoka Kenya imewahi kufanya hivyo. Over kama umenisoma.Nadhani lengo langu nilitakiwa kujua kama je wameshawai kushinda kikombe chochote cha caf? Paka sasa sijapata jawabu lolote kutoka kwa mdau yeyote wa Simba S.C kuhusu swali langu zaidi ya kujificha kwenye makombe ya bonanza
We elewa tupeleka team nne ikiwemo hyo utopoloSimba haijawahi mbeba yanga kwenda kimataifa, na haina uwezo huo yanga anaenda kimataifa kutokana na kuwa mshindi wa pili (sasa nambie huo ushindi wa pili wa yanga simba ndo alichangia Ama juhudi zake)
Nafikiri hoja yako ingesomeka hivi: Mafanikio ya Simba na Yanga kwenye mashindano ya Kimataifa. Usisahau kuweka na rank za CAF kwa kila clubImezuka kasumba kwa washabiki na wapenzi wa klabu ya Simba S.C kutamba kuwa wao ndio wawakilishi wazuri kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu, Je wamewahi shinda nini huko kwenye hayo mashindano ya kimataifa? Au nao ni wasindikizaji tu kama wasindikizaji wengine?
Unatumia nguvu nyingi akili ndogo, mwaka jana yanga hajawa bingwa wa fa wala ligi na kashiriki champions league ilikuwaje eleza hapo Ili ugundue wewe n mpumbavu grade AMshindi wa pili hana uwakilishi kwenye kombe mashindano yoyote. kwenye Champions league anashiriki bingwa na shirikisho anashiriki bingwa wa FA. Mbumbumbu wewe
Swali langu nadhani haujalielewa au umeamua kupotosha kwa makusudi kwa sababu ya unazi wako usiozingatia weledi, mimi nazungumzia ile kasumba ya wadau wengi wa Simba wanaojivunia mafanikio ya Simba kimataifa, sasa nimejaribu kuyatafuta hayo mafanikio nimeyakosa, nimefungua uzi ili wadau kama wewe muyalete badala yake unaanza nishambulia nikashabikie mchezo mwingineTafuta mchezo mwingine ushabikie. Kuwa timu bora siyo lazima uchukue kombe. Belgium ndiyo timu bora ya taifa duniani kwa zaidi ya miaka minne. Lakini hawajawahi chukua kombe lolote
Hahahaha yanga kajipeleka kutokana na nafasi yake kama mna uwezo wa kupeleka timu upelekeni mbeya city, .wadui, geita goldW
We elewa tupeleka team nne ikiwemo hyo utopolo
Ndiyo maana nasema wewe ni mbumbumbu. Yanga walishiriki baada ya Tanzania kuongezwa nafasi toka mbili hadi 4. kutokana na point ilizopata Simba baada ya kufika robo fainali ya Champions league. Na TFF ikaamua aliyeshika nafasi ya pili awakilishe.Unatumia nguvu nyingi akili ndogo, mwaka jana yanga hajawa bingwa wa fa wala ligi na kashiriki champions league ilikuwaje eleza hapo Ili ugundue wewe n mpumbavu grade A
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..... ...Mabingwa wa kihistoria Kagame cup, Simba Super Cup 2021
2002Hebu nitajie ni mwaka gani?
Hapo ndipo unazidi kuthibitisha kwamba kwenye football umepotea njia. Mtu mweledi kama unavyodai anajua nini kimefanyikaSwali langu nadhani haujalielewa au umeamua kupotosha kwa makusudi kwa sababu ya unazi wako usiozingatia weledi, mimi nazungumzia ile kasumba ya wadau wengi wa Simba wanaojivunia mafanikio ya Simba kimataifa, sasa nimejaribu kuyatafuta hayo mafanikio nimeyakosa, nimefungua uzi ili wadau kama wewe muyalete badala yake unaanza nishambulia nikashabikie mchezo mwingine
Kwa maana nyingine GorMahia ndio timu pekee huu ukanda wetu wa afrika mashariki inayopaswa kusifiwa, hawa wasindikizaji wa mitaa ya kariakoo hawastahili hizi sifaHaijawahi kushinda kombe lolote CAF, kwa Afrika Mashariki ni GorMahia pekee kutoka Kenya imewahi kufanya hivyo. Over kama umenisoma.
Na ndo tunachoenda kukifanya maana nyie hamna shukranHahahaha yanga kajipeleka kutokana na nafasi yake kama mna uwezo wa kupeleka timu upelekeni mbeya city, .wadui, geita gold
Mbona Simba imekuwa mara kadhaa inasusia kushiriki haya mashindano ya kagame kwa kuona km yanawapotezea muda tu, wewe huoni kama hayana iyo hadhi unayotaka kutuaminisha?2002