[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]we mie dume angalia vzr profile
Hiyo yenyewe muda si mrefu itaripukaNi haki kweli hii wakuu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenchekeshaMkuu acha dharau ka Vip kafungue Jf yenu ya Samsung iPhone zenu ,si mtuache na tecno na itel naongezea na Huawei ! Kwani vocha unayo nunua inazwa kwa usd ?mb ni hizo nane tu na iPhone yako na Samsung Galaxy 6
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi nataka kujua watumiaji wa tecno na itel wapo wangapi kupitia hii threadNgoja nione mapovu ya tecno kwenye simu yangu yakimwagwa
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na wewe unamiliki tecno!?Hapana nyie mnawekwa kwenye spam
Ndiyo mkuuTeh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na wewe unamiliki tecno!?
Wewe ni itel gani vile