Hivi sisi wenye Samsung galaxy 6, na iPhones tunachanganya post zetu Humu na wenye tecno na itel?

hii ni dharau kubwa cha muhimu ni kupashana habari mkuu
 
Mapovu mengi Humu ni ya
Tecno za tecno y2
Tecno n8 za Tigo
Naa nini za Voda ndo maana wakali sana
 
Mkuu acha dharau ka Vip kafungue Jf yenu ya Samsung iPhone zenu ,si mtuache na tecno na itel naongezea na Huawei ! Kwani vocha unayo nunua inazwa kwa usd ?mb ni hizo nane tu na iPhone yako na Samsung Galaxy 6
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenchekesha
 
Ngoja nione mapovu ya tecno kwenye simu yangu yakimwagwa
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi nataka kujua watumiaji wa tecno na itel wapo wangapi kupitia hii thread
 
Hapana hazichanganyiki... hapa post zote ni za kutoka simu za Tecno na Itel... Samsung na Iphone hazikubali humu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…