Hivi sportpesa wanajielewa kweli,ebu ona hii kosa la kiufundi waliofanya.

Hivi sportpesa wanajielewa kweli,ebu ona hii kosa la kiufundi waliofanya.

Leo CR7 atajizolea misifa mpaka basi,Mo SALAH atakumbana na beki mhuni RAMOS and he will be totally blanked!mpaka kipyenga cha mwisho,liverpool fans mtabaki mmejishika viuno,hapo ndo mtajua ni kosa kubwa sana kuingia na madrid uwanjani huku ndoo imewekwa hadharani.
We jamaa na Dr. Leakey Abdallah ni noma aisee
 
Leo CR7 atajizolea misifa mpaka basi,Mo SALAH atakumbana na beki mhuni RAMOS and he will be totally blanked!mpaka kipyenga cha mwisho,liverpool fans mtabaki mmejishika viuno,hapo ndo mtajua ni kosa kubwa sana kuingia na madrid uwanjani huku ndoo imewekwa hadharani.
We jamaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom