Hivi stendi ya mabasi Bukoba ina ukubwa gani hadi viongozi wa chama na Serikali watumie mabilioni kwenda kukagua ujenzi wake?

Ustarabu ni kuwekeza dar alafu ulienda kwenu unalala kwenye vichaka? choo tu tabu

Jengeni makwenu kuku nyie
Basi ngoja na wenyewe wajifunze ukabila wenu nyie wakina Massawe inaonekana imetoka Rombo siku nyingi sana ,Rombo uko vijana wanalewa hadi wanashindwa kuzalisha hadi wanawake wanaenda kutafuta wanaume Kenya
 
Basi ngoja na wenyewe wajifunze ukabila wenu nyie wakina Massawe inaonekana imetoka Rombo siku nyingi sana ,Rombo uko vijana wanalewa hadi wanashindwa kuzalisha hadi wanawake wanaenda kutafuta wanaume Kenya
Kulewa ni starehe kaka , na sio Kila mtu ni mlevi

Wahaya wanapigana na mtu anaewalwtea hata maendeleo kwa majungu na fitna

Nimekaa pale Bukoba ni jamii ya watu wasomi ila Mbumbumbu
 
Hii ilikua hoja nzuri lakini imeingiliwa na virusi vya kuweka mbele ukabila jambo ambalo sio sawa ata siku moja kabisa. Ingawa hakuna asiejua kua makabila mengi nchini kwenu hapo TZ wanalichukia sana kabila la wahaya nao pia wakiwa na sababu zao za msingi. Niliwai kusoma sehemu mtu akisema Maxence Mello afungiwe JF na uhaya wake....mwingine akasema Ruge (late) bora amekufa kisa anapiga pesa.Hivi fikiria mawazo kama hayo....
 
Labda Kuna Moshi nyingine sio hii...
Barbara za mijohoroni, majengo, Kule karibu na gest ya twiga lodge Barbara kibao ni za vumbi na nyumba ni za kizamani kama magomeni suna....hapo mjini kati hio double road haina sidewalks na ina mashimo kibao mkuu...au unataka nipost picha?

Stendi Iko asilimia 80 wap mkuu wakati ujenzi ulisitishwa toka 2021 walikuwa chemchem chini...

Hii stendi ya sasa ya Moshi ni kituko kwanza imechakaa na Kuna vibanda Kila mahali...wapiga debe wote ni walevi...

Bila kusahau vidaladala vyote vya kuelekea kibosho, Machame, marangu etc vimechoka kweli kweli vingine vina kunguni..

Kama unabisha naleta picha...


Mkuu Kila sehemu Kuna matatizo yake ila Moshi nayo ni mji wa kuangaliwa sana na mbaya zaidi nyinyi wachagga hamuoni huu uozo....mko hapa mnajitapa uongo wakati nyinyi pia ni WA kuonewa huruma
 
Hahah utakua umeliwa hela na binti wa kichaga wewe


Uwezi fananisha Moshi na kwenu Bukoba

Mji wa Himo tu ni size yenu
 
Hahah utakua umeliwa hela na binti wa kichaga wewe


Uwezi fananisha Moshi na kwenu Bukoba

Mji wa Himo tu ni size yenu
Mtu akisema ukweli sio...na nakuja na picha

Ati mji wa himo😂...kwanza ile stendi ya himo ni kichochoro TU...

Himo haina tofauti na kemondo tena Bora kemondo ina bandari kubwa TU...

Hapa ni stendi ya himo...kimsingi Moshi ni Kijiji kama vijiji vingine...watu wa huko ndo mnatabia ya kutrash makabila mengine hasa yale mnayoona hamuwezi yaletea dharau
Hahah utakua umeliwa hela na binti wa kichaga wewe


Uwezi fananisha Moshi na kwenu Bukoba

Mji wa Himo tu ni size yenu
 
Hahah utakua umeliwa hela na binti wa kichaga wewe


Uwezi fananisha Moshi na kwenu Bukoba

Mji wa Himo tu ni size yenu
Wala hatutaki Bukoba ifananishwe na Moshi mkuu...Moshi ni Kijiji kilichochangamka...
Imagine hii ndo mitaa ya Moshi mjini....wanaojisifia wameendelea...

Na ukiendelea kubisha nitakuumbua... Bukoba at least matatizo yake yanasolviwa stendi inajengwa, Barbara ya njia nne, Barbara nyingi zinawekewa Taa etc...

Moshi hakuna mradi wa maana unaoendelea wako wanaojisifia wameendelea sijui ni wap Tz ni first world
 

Attachments

  • PXL_20231211_101715133.jpg
    4.9 MB · Views: 3
  • PXL_20231211_102150760.jpg
    2.9 MB · Views: 1
  • PXL_20231211_101532101.jpg
    3.4 MB · Views: 1
  • PXL_20231211_101712102.MP.jpg
    6.6 MB · Views: 4
🤣🤣🤣Wakishakunywa mbegehh wanajiona wako nyuyoku
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakishakunywa mbegehh wanajiona wako nyuyoku
Wako wanaicheka Bukoba....Tazama kwao moshi palivyo hovyo kabisa...


Barabara nyingi za moshi hazina lami...na nyumba nyingi zimechoka
 

Attachments

  • PXL_20231210_054539115.jpg
    94.1 KB · Views: 1
🤣🤣🤣Wakishakunywa mbegehh wanajiona wako nyuyoku
Waache watakuja kushtuka ni WA mwisho..acha takwimu za NBS ziendelee kuwandanganya...
Mimi nimeishi kote Bukoba na Moshi... Bukoba at least watu wanalalamika matatizo yao na yanatatuliwa...Moshi wanaona wamemaliza wakati mji unazidi kuwa ovyo Kila kukicha...
Na siku hiz mji wa Moshi ni mchafu sana...Kule mbuyuni sokoni pananuka kweli kweli na mitaro hawaisafishi...majengo ya kizamani kama mji mkongwe vile...Barbara nyingi hazina lami na kama ipo basi haina sidewalks..Barbara kuu ya Moshi Arusha ina viraka hatari...

Kusema ukweli Moshi panatia huruma...zamani nilidhani Bukoba ndo Iko na matatizo ya miundombinu ila nilipofika Moshi nikaona Bukoba wakijenga stendi,soko na Barbara za mjini kati zikafumuliwa upya mji utakuwa mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…