Hivi Steve Nyerere bado tunamuita Msanii?


Usanii una heshima gani duniani? Ustaa kuvuta bangi, wa kukaa uchi and the like
 
Ubuyu ndio nini maana mi najua ubuyu ni mwanamke mwenye makalio makubwa sasa nikisoma comments za ubuyu na shindwa kuelewa[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
 
Huyu jamaa kakomaa sura hadi maini.

-Kibaraka wa Chama Cha Mafisadi

-Mtwana wa wasanii wa bongo movie

Huyu ndio huwa anatumwa Vocha, sigara, wine, ndom na kuwatengezezea wadada nguo zao zikikaa vibaya.
 
Laana ya Watz. inamtafuna kuwa upande wa haramu
 

- Kwanza ulianza vizuri sana kwamba hujui yeye ni nani, and then ukaanza kuonyesha unajua ni nani sasa mbona unajitekenya mwenyewe na kujichekesha? Sisi tuchhangie nini hapa?

le Mutuz
 
- Kwanza ulianza vizuri sana kwamba hujui yeye ni nani, and then ukaanza kuonyesha unajua ni nani sasa mbona unajitekenya mwenyewe na kujichekesha? Sisi tuchhangie nini hapa?

le Mutuz
nimekuona leo JamboLeo mkuu
 
hichi kijamaa nakionaga kama kichoko. hivi hakifukunyuliwi kwel?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…