Eti na helikopta juu,hii haikubariki ni matumizi mabaya ya pesa za Umma..
Watu ambao hawajajiajiri hao hawaoni uchungu na pesa zetu na Hawa ndio wanadiscourage watu kulipa Kodi.
Planning kwa watumishi wa umma kwenye nchi zetu ni hafifu sana kwa mfano madarasa ya milioni 75 ambayo ni matatu yanaenda kuzinduliwa na msafara wa milionj 25 kosa hiyo itumike kuongeza darasa jingine