Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Eti na helikopta juu,hii haikubariki ni matumizi mabaya ya pesa za Umma..

Watu ambao hawajajiajiri hao hawaoni uchungu na pesa zetu na Hawa ndio wanadiscourage watu kulipa Kodi.

Planning kwa watumishi wa umma kwenye nchi zetu ni hafifu sana kwa mfano madarasa ya milioni 75 ambayo ni matatu yanaenda kuzinduliwa na msafara wa milionj 25 kosa hiyo itumike kuongeza darasa jingine
 
Halafu viongozi wanaonaga wananchi kama wajinga utakuta mradi mmoja mfano daraja kwanza viongozi wote wanalitembelea, wanaweka jiwe la msingi, halafu wanazindua ujenzi, halafu wanakuja kulifungua na bado watatembelea hapo hapo miaka nenda rudi na inakua kama habari vile,
 
Moja kwa Moja kwenye mada..

Sipingi kutolewa Vishikwambi ila naona sio sawa kuweka sherehe jambo la kutoa maelekezo na maagizo tuu..

Kila kitu viongozi wanataka kongamano hafla nk,vya nini hivyo?

Kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa ugawaji vishikwambi..Hii Nchi haitakuja kuishiwa vituko..

Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Wacha inyeshe tujue panapovuja,wananchi wafunge Mikanda ila wao walegeze..

Huenda Tanzania inakabiliwa na mdororo wa Brain power kwa watu wake.👇
KAMA NI KWELI BAS HII NCHI INAZIDI KUPUNGUKIWA IDADI YA WATU WENYE AKILI TIMAMU
 
Mimi naona hamna tatizo kwasababu hana kazi lazima atafute kitu cha kumkeep busy. Ni kama tu polisi wa Norway wakipigiwa simu mlevi kaanguka wanakuja faster kumhudumia angalau siku iyo wawe busy.
Umenikumbusha. Niliwahi kuona huko kwa wenzetu mtu anapiga simu 911 eti paka wake kapanda juu ya paa na kakataa kushuka na kweli rescue team ilikuja kumshusha paka!!!! Nikasema we have a very very very long way to go!!!!
 
Zoezi hilo ilitakiwa lifanyike kimkoa, halafu kila RC awagawie wanaohusika kwenye mkoa wake, nahisi tunapenda sana sherehe ambazo kimsingi hua sioni kama zina kichwa wala miguu, RC anaweza akagawa na kutoa maelekezo yaliyotolewa na waziri mkuu mambo yakawa safi kabisa
Mkuu, siyo kupenda sherehe. Hii ni sehemu ya propaganda za CCM. Serikali zote zenye malengo wa kijamaa huwa zinaendeshwa kwa design hii ya propaganda, propaganda...... Same as China, Russia, North Korea, Venezuela na Cuba.
 
Swali la kujiuliza ni je, Samia haoni haya matumizi mabaya yanayofanywa na hao aliowateua??

Au yeye akishateua basi..inakuwa sawa na kwenda haja na kusahau.
Huyu mama ameshaorojeka kabisa kiuongozi.
Acha kashfa kwa cheo cha urais, hayo unayoyaona wanafanya watendaji ndio tabia halisi za jamii yetu ya Kitanzania.... kupenda raha na starehe
 
Moja kwa Moja kwenye mada.

Sipingi kutolewa Vishikwambi ila naona sio sawa kuweka sherehe jambo la kutoa maelekezo na maagizo tu.

Kila kitu viongozi wanataka kongamano hafla nk,vya nini hivyo?

Kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa ugawaji vishikwambi. Hii Nchi haitakuja kuishiwa vituko.

Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Wacha inyeshe tujue panapovuja, wananchi wafunge Mikanda ila wao walegeze.

Huenda Tanzania inakabiliwa na mdororo wa Brain power kwa watu wake.[emoji116]

View attachment 2405822View attachment 2405687
Anayepangiwa bajeti ya mabilioni ya kuendeshesha sherehe/matukio za/ya kitaifa/kiserikali ndiye huyo anayepanga tukio gani lifanyike kama sherehe na ndiye huyo anayeenda kukabidhi hivyo vishikwambi!!
Hii nchi tuna tatizo mahali pengi ila kuanzia ni top 3 wote kutoka/kutolewa.
 
Moja kwa Moja kwenye mada.

Sipingi kutolewa Vishikwambi ila naona sio sawa kuweka sherehe jambo la kutoa maelekezo na maagizo tu.

Kila kitu viongozi wanataka kongamano hafla nk,vya nini hivyo?

Kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa ugawaji vishikwambi. Hii Nchi haitakuja kuishiwa vituko.

Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Wacha inyeshe tujue panapovuja, wananchi wafunge Mikanda ila wao walegeze.

Huenda Tanzania inakabiliwa na mdororo wa Brain power kwa watu wake.👇

View attachment 2405822View attachment 2405687
Mdororo wa Brain power 😅 hatar sn !!
 
Moja kwa Moja kwenye mada.

Sipingi kutolewa Vishikwambi ila naona sio sawa kuweka sherehe jambo la kutoa maelekezo na maagizo tu.

Kila kitu viongozi wanataka kongamano hafla nk,vya nini hivyo?

Kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa ugawaji vishikwambi. Hii Nchi haitakuja kuishiwa vituko.

Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Wacha inyeshe tujue panapovuja, wananchi wafunge Mikanda ila wao walegeze.

Huenda Tanzania inakabiliwa na mdororo wa Brain power kwa watu wake.👇

View attachment 2405822View attachment 2405687

Hizi siasa za kiki muasisi wake ni Magufuli. Kila jambo alikuwa anaenda hewani na sifa kibao. Matokeo yake CCM wakajiaminisha kuwa hizo kiki ndio kukubalika. Serikali ya sasa nayo imeeiga ujinga ule ule kwenye hiyo dhana potofu ya kukubalika kwa promo za kijinga.
 
Back
Top Bottom