Yaan huyu dude ya sugu imemkaa kichwani loooo,Mungu niepushie kupenda hivyoo bora nijipende mie tu
Haka katakua kavuta bangi
Yaan huyu dude ya sugu imemkaa kichwani loooo,Mungu niepushie kupenda hivyoo bora nijipende mie tu
Haka katakua kavuta bangi
hivi kaka na mama yake wanajisikiaje!!!! kujichetua gani huku jamani?
Ndio maana ana stress, ibada hafanyi, ngono hafanyi.....achague moja.
Muulize Nape kwanini aliachana na mama watoto wake aliyezaa naye mtoto wa kwanza? Halafu njoo nipe jibuAkili zake hazina tofauti na SUGU, ndege wafananao huruka pamoja.
haa haa haaa atakuwa amechagua ngono sa anatafuta dushe kwa nguvu. jamani madushe yamekuwa adimu siku hiziiii
Akili zake hazina tofauti na SUGU, ndege wafananao huruka pamoja.
walikuwa wanavuta bange pamoja,ndio maana akili zao zinafanana