Hivi Suma G uko wapi?

Mbona umenunaaaaaa na hauchekiiii tenaaaaaaa najuta naogopaaa rohoo inaniumaaaaaa ..... Rnb Kali kabisa sijui naevalipotelea wapi
kwani sio langu kusudio...nihirumie....vile umenuna unaniweka rohoooo juu baby
 
Kweli aiseee
Wakati huo wasanii walikuwa wanaimba kuhusu maisha na hali halisi iliyokuwepo,
" hii kamba ngumu,tunavutana na wenye nguvu,vitambi na mashavu, hakuna tena fair game referee kauzu" huu mstari tunauishi sana
 
Wakati huo wasanii walikuwa wanaimba kuhusu maisha na hali halisi iliyokuwepo,
" hii kamba ngumu,tunavutana na wenye nguvu,vitambi na mashavu, hakuna tena fair game referee kauzu" huu mstari tunauishi sana
Refarii kauzu uwanja wenyewe mkavu, ajira ngumu, kilichobaki ni kucheza rafu ,tumechoshwa na ukabaila, ubepari na ubeberu ,wakati ndio huu..... Daaaah manina walahi
 
Naahidi kuwa makini mpaka siku nafukiwa chini Mungu aliye hai bado yupo na mimi,MC shika vizuri karibu tawi litakatika na kwa wote mlio juu na chini sauti itafika...........Rap siyo lele mama kama wengi mnavodhani,fasihi iliyohai kuitoa jamii kizani,miaka ya 80 hip hop bongo ilichipua nadhani wale wakongwe wa Rap hii munaitambua,hali ilikuwa mbaya miaka ya 89 watu hawakutaka kuelewa Rap kabisaa,miaka ya 90 Hip hop ya bongo ilikubalika wenye nia nzuri na Rap tunawajibika.........Rap ni wito yataka utashi na ufahamu Elimu ya mtaani pia kujituma pia ni nidhamu,wasanii wenyewe wa bongo tunafanya tudharauliwe watu viwango vidogo hawataki washauriwe wanaongea Blaa! Blaa! Vijino viwe,na wanavunja miko ya Rap waheshimiwe,wengine wanatumia kivuli cha Rap kufanyia uhuni,hii ni sawa na kupanda ngazi kuelekea mbinguni .
Hapa ndiyo unajua watu walikuwa wanaumiza vichwa kutunga mistari[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Refarii kauzu uwanja wenyewe mkavu, ajira ngumu, kilichobaki ni kucheza rafu ,tumechoshwa na ukabaila, ubepari na ubeberu ,wakati ndio huu..... Daaaah manina walahi
Hii ngoma ina ujumbe mzito sana mkuu, ilipangiliwa ikapangika
 
Niga jay, wakati huo
 
Wachaaaaa.

Kaka uko vizuri aisee. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hujapotea kweli au ndiyo upo kama samaki unafika mpaka marekani lakini hupajui unarudi tena tz.
Hahaaaa. Jamaani Kaka. Kweli nimepotea njia aiseee. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya siku njema Insha Allah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…