Hivi Suma G uko wapi?

Hivi Suma G uko wapi?

Jose Mtambo hivi sasa ni mlevi wa gongo tena aliyepitiliza sidhani kama kaacha.
Muziki aliacha kuimba baada ya kutapeliwa na promota wake aliyeuza albamu nzima kwa Mhindi. Tena bila kupata hata senti, Mhindi naye akamtosa hata alipojua mwimbaji ni yeye na kwenye kasha ka albamu kuna picha yake.

"Ya nini niimbe halafu faida wanapata wengine, mimi sipati chochote", maneno yake aliyoyasema baada ya kukata tamaa kabisa ulevi ukawa ni suluhu yake.
Hapo alikosea dawa ya tatizo ni kulikabili na kulitatua,huko alikojiingiza ndio kajimaliza kabisa
 
Hapo alikosea dawa ya tatizo ni kulikabili na kulitatua,huko alikojiingiza ndio kajimaliza kabisa
Stress ndiyo chanzo, yaani katumia ubongo wake kutunga, kashughulisha pumzi zake za mdomo wake katika kutoa sauti nzuri ya kuimba. Mjinga mmoja anakuja kuiuza albamu nzima kilaini. Lazima stress ikupate
 
Stress ndiyo chanzo, yaani katumia ubongo wake kutunga, kashughulisha pumzi zake za mdomo wake katika kutoa sauti nzuri ya kuimba. Mjinga mmoja anakuja kuiuza albamu nzima kilaini. Lazima stress ikupate
Ni sawa ila angeangalia utaratibu mwingine sio kujizira namna hiyo
 
Ni sawa ila angeangalia utaratibu mwingine sio kujizira namba hiyo
Tuna mioyo tofauti wanadamu usimlaumu, huenda hata uamuzi utakaochukua wewe kwenye hali fulani ukaonekana ni mbaya. Mitazamo ni kinzano, ila uchungu wa shubiri aujuaye mwonjaji.
 
Mwenye wimbo wa darasa huru, mwingine unaimbwa ho ha heee,nyingine chorus anaimba wanachonga chonga sana jose mtambo sijui kama nimepatia
 
Back
Top Bottom