Mafinga_boy
Member
- Jul 12, 2023
- 42
- 50
Changamoto sanaNi sawa mkuu,watoto wengi wa 2000 hakuna wanachokifahamu chini ya jua zaidi ya udaku kwenye mitandao,kufuatilia habari za mondi na hamisa ndio role models wao,wakifika kazini wanataka kuvaa jeans na nguo za kubana.zaidi ya hayo wanafahamu sana kwenda kwa mpalange na kutoa mimba kwenye majumba ya watu.kwa kifupi kama una Binti kazaliwa 2000s yupo nyumbani kwako tegemea atamleta babe kwenye makazi yako na watakuwa wanagegedana humo
Namna tulivyo ulizana niliamini patina Shaka yoyote ndivyo ajuavyoAlikuwa msichana! Ishi nao kwa akili maswali yao wanauliza na majibu wanayo.
Nitafutilia sana kama amepita... huyo hata Kiswahili asipewe kufundisha!
Shida kubwa sana. Na hii ni wazi kuwa wengi wanakalili hawaelewi kwahiyo kama sungura hakuwahi ambiwa kuwa anazaa basi hajiongezi kuwa ni mnyama huyu na lazima azae anabaki na alivyokalilishwa tu kichwani mwakeNilishakutana na vituko kàma hivi toka mwalimu graduate, nilishangaa sana. Ikabidi niulize rafiki zake kama ni kweli ana degree ya ualimu.
Kuna majanga ya kutisha kwenye mfumo wa elimu nchini.
Hivi kwa level ya ualimu kabisa vitu kama hivyo usijue? Je huyu akiulizwa na mwanafunzi swali hilo atamjibuje?Hukuwa na sababu ya kuandika hayo yote. Nyie mngemjibu tu kuwa "Sungura anazaa".
Kutokujua hilo haimanisi hana elimu na kwamba hafai kuwa mwalimu.
Yapo mambo mengi sana watu hawayajui ila siju ikiwapasa kuyajua huyajua kuanzia hapo na wanaweza hata kuwaelekeza wengine.