Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Yah. huu mstari nauzingatia sana hapaNAKAZIA 🔨
Mwana FA aliongea deep sana💪🏿
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah. huu mstari nauzingatia sana hapaNAKAZIA 🔨
Hiyo mbona SUV?Na mm naunga mkono hoja hela zimetokea bila kukusudiaKapiga picha na Mercedes Benz W205 C Class 2016.
Hela zimeonekana bahati mbaya.
Tafuta pesa za kutosha ila usipige nazo picha, pigo za kigoroko zitakufelisha.Mwana FA Kuna vesi anakwambia
"Usipige picha na pesa"
Huwa nauzingatia sana ule mstari
Kama ndio hivyo, Utakuja kufungwa tu sababu siku moja utasema uchomoe kidogoMie ni mhasibu wa kampuni fulani la mikopo ukiona nimepiga picha na hela ujue sio zangu zile ni za kampuni napeleka bank.
Sawasawa mkuu👍🏿Tafuta pesa za kutosha ila usipige nazo picha, pigo za kigoroko zitakufelisha.
Huwaga najikopa kiasi ambacho najua hata nikikurupushwa nikabidhi hela muda wowote najua chap ntaiziba kutoka vyanzo vyangu vingine vya mapato, so naziheshimu na naziogopa, make kukutia aibu ni suala la dakika mbili Tu.Kama ndio hivyo, Utakuja kufungwa tu sababu siku moja utasema uchomoe kidogo
Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Ni ushambaNaona watanzania kwasasa wengi wao wamekuwa na hulka ya kupiga picha na hela trna hela za kutosha. Je tabia hii wewe unaichukuliaje, ujanja au ushamba?View attachment 2771898
[emoji3][emoji3][emoji3]haya wahi riverside ukauze
Ukiona MTU anatumia nguvu Nyingi, kuiaminisha dunia yupo vzr, kifedha, ujue huyo ana msongo wa mawazo,na Hana ka kitu, ni choka mbaya, anafanya hayo kujipa aueni ya fedha,Naona watanzania kwasasa wengi wao wamekuwa na hulka ya kupiga picha na hela trna hela za kutosha. Je tabia hii wewe unaichukuliaje, ujanja au ushamba?View attachment 2771898
lavit unatumia tiktok?Siku hizi wanachonga vimbao,wanabandika ten juu na chini.Role model wao kaumbuka huko tiktok
Ushamba tu kama ulivo ushamba mwingineNaona watanzania kwasasa wengi wao wamekuwa na hulka ya kupiga picha na hela trna hela za kutosha. Je tabia hii wewe unaichukuliaje, ujanja au ushamba?View attachment 2771898