Hivi TANESCO hawawezi kuunda app ya kununua umeme na kuingiza?

Hivi TANESCO hawawezi kuunda app ya kununua umeme na kuingiza?

Mi naona hamna sababu ya kuunda app, wanachotakiwa kufanya ni kuwezesha ukinunua umeme iwe kwa simu, banki au wakala, umeme wako uingie moja kwa moja kwenye mita yako na siyo kwenda kubinya binya unaingiza namba za luku kwenye mita

Mkuu ipo hii kuna Dogo aligundua alikuwa anahojiwa na CLOUDS FM, TANESCO wawatafute Clouds FM wawape contacts za huyo MTU.

Tanesco wanayo App yao na Pia serikali wanayo app GEPG inanunua luku moja kwa moja bila kutumia system ya mitandao! Mitandao inakupa Network tu ila sio lazima uende kwenye USSD codes zao za mitandao.
 
Yani unataka waya wa power ubebe signal?? signal gani inayoweza safiri abt 2Kms??

Af iyo signal inaenda wapi?? maana source ya wire ni kwenye transformer ya LV. af signal ikifika pale nn kinafuata??

Simply unachosema ni kigumu sana. current kuna mita za EDMI ambazo zinatumia simcard ila sio LUKU ni postpaid Mita inarecord uses na kutuma taarifa kwenye kwenye serves so hakuna haja ya meter readers. So ni suala la kuweka relays ambazo zitakuwa zinapokea command kwa njia ya GSM/ GPRS kuwasha na kuzima

Japo sio njia poa italeta usumbufu. just imagine kuwa na servers za kuhandle two way communication kwa mita zoto TZ

Simply ni ngumu

Ofcourse kila kile ambacho watanzania hatukijui huwa tunasema ni kigumu sana. But wenzetu nje wanafanya sana tu. Both wired and wireless zinawezekana kabisa.

Skuizi hadi kuna simu mawasiliano yanapitia kwenye waya hizo hizo za umeme (Jose Soares Augusto's answer to Can communication signal be transmitted through a power cable? - Quora).

Cha msingi ni kuwa na kifaa cha kumodulate kwenye transformer tu.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

Nilitaka nimjibu hili ndugu Hazchem plate naona umeshamjibu. Wala hata sio nchi zilizoendelea tu

Hata ndani ya Tanesco kwa mawasiliano ya ndani kwa ndani kuna simu za TTCL na pia kuna simu ambazo wanzitumia zinatumia waya zao hizo hizo za umeme kuwasiliana kati ya Sub Station na Sub Station.

Siku nyingine sana nadhani 2004/2005 nilikua na team ya kutoka South Africa walikua wanafunga huo mfumo

Sijui details sana ila najua tuliukamilisha na unafanya kazi(Mie nilikua Kibarua tu)
 
Nilitamani hii app ya TANESCO iwe na informations nyingi sana ikiwemo angalau kuangalia salio la umeme uliobaki kwenye meter ya luku, au niweze kuingiza umeme kwenye meter ya luku kwa kupitia hii app.
 
Nilitaka nimjibu hili ndugu Hazchem plate naona umeshamjibu. Wala hata sio nchi zilizoendelea tu

Hata ndani ya Tanesco kwa mawasiliano ya ndani kwa ndani kuna simu za TTCL na pia kuna simu ambazo wanzitumia zinatumia waya zao hizo hizo za umeme kuwasiliana kati ya Sub Station na Sub Station.

Siku nyingine sana nadhani 2004/2005 nilikua na team ya kutoka South Africa walikua wanafunga huo mfumo

Sijui details sana ila najua tuliukamilisha na unafanya kazi(Mie nilikua Kibarua tu)

Haya mambo huwa yanaishia kujaribiwa na sio implementation
 
Nilitamani hii app ya TANESCO iwe na informations nyingi sana ikiwemo angalau kuangalia salio la umeme uliobaki kwenye meter ya luku, au niweze kuingiza umeme kwenye meter ya luku kwa kupitia hii app.

Huduma itakuwa mbovu sana. nafuu tuu huduma hii iwe local operated kuliko kuweka servers za kucommunicate na meter za wateja wote.

Tanesco wana Meter zinatumia line zipo chache tuu za wateja wakubwa zisizo za luku zinawatoa Jasho, Sembuse kuwa na meter zote Tz ziwe Cetrolized nafuu tuu waendelee kufanya vending ya token kama kawaida
 
Sijui kwakweli kwasasahivi ila tulionganisha sehemu nyingi sana kuanzia Pwani, Kati, Kaskazini na Kanda ya Ziwa. Maeneo ya Kusini na Kigoma sikwenda kwakweli

Ko signal zinasafiri kupitia national Grid? kazi sana yani. Naendelea kujifunza
 
Ko signal zinasafiri kupitia national Grid? kazi sana yani. Naendelea kujifunza
Wewe sasa kumbe hujaelewa. Huwezi safirisha signal kutoka Arusha to Dar kwa national grid. Wired inatumika kutokea kituo kikuu cha tanesco cha eneo husika mfano tanesco mbagala kwenda kwa wateja. Then tanesco mbagala ina exhange data na main office through wireless. Hivi ndivyo ifanyavyo kazi baadhi ya miji mikubwa duniani. Tena wao wameenda mbali zaidi kuwa anaefanya hizi mambo ni kampuni binafsi amepewa tender ya mkataba wa muda mrefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ko signal zinasafiri kupitia national Grid? kazi sana yani. Naendelea kujifunza
Yes ilikua ni infrastructure inaunganishwa kwenye National Grid na tulikua tunapiga simu sehemu yoyote tukitaka(mafundi) ila kwa Tanesco wenyewe ilikua limited ndani ya Ofisi tu ndo zinawasiliana

Nilijipatia mpaka Rafiki ambaye Mwishowe nikapata Scholarship Pretoria Uni for Postgraduate
 
Wewe sasa kumbe hujaelewa. Huwezi safirisha signal kutoka Arusha to Dar kwa national grid. Wired inatumika kutokea kituo kikuu cha tanesco cha eneo husika mfano tanesco mbagala kwenda kwa wateja. Then tanesco mbagala ina exhange data na main office through wireless. Hivi ndivyo ifanyavyo kazi baadhi ya miji mikubwa duniani. Tena wao wameenda mbali zaidi kuwa anaefanya hizi mambo ni kampuni binafsi amepewa tender ya mkataba wa muda mrefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kutumia National Grid mkuu.

Tumefanya sisi miaka kama 15 iliyopita sasa sijui Ulikua ni Mradi wa Net Group Solutions na sijui kama waliondoka nao au lah.....nilishatoka muda sekta hiyo

Ila tuliunga substations nyingi tu
 
sasa hivi wanayo application ya TANESCO App ambayo mtu yeyote anaweza kutumia kutoa taarifa kwao kirahisi inapatikana appstore na play store
 
Ununue na kuingiza kupitia simu, hutu tududu twao twa kuingizia umeme huwa tunanikera sana. Inawezekana?
Sikia ww kwa sisi watu wa code io sio kaz rahis labda itengenezwe app ya kununua umeme lkn sio kuingiza umeme na ata ko ya kununua umeme lazima maengineer wa tanesco wahusike bila hao mtu wa kawaida hawez
 
Sikia ww kwa sisi watu wa code io sio kaz rahis labda itengenezwe app ya kununua umeme lkn sio kuingiza umeme na ata ko ya kununua umeme lazima maengineer wa tanesco wahusike bila hao mtu wa kawaida hawez
Kama kale kadude kanaweza wasiliana na mita simu ishindwe vipi?
 
Kama kale kadude kanaweza wasiliana na mita simu ishindwe vipi?
Ni mambo ya technologia kwa lugha ya kibantu huwex nielewa in short ipo hv technologia ya mawasiliano ya mita ya umeme haipo kwenye cmu ni sawa uchukue total station kisha uanze kuforce icommunicate na simu utakesha
 
Ununue na kuingiza kupitia simu, hutu tududu twao twa kuingizia umeme huwa tunanikera sana. Inawezekana?
Kwa kuwezekana inawzekana lakini cha kwanza warudie upya kuangalia aina ya meter zao kma ni rafiki kuweza kufanya hiyo intergration kuangalia uwezo wa connectivity kutoka kwenye meter zao na hiyo app itakayotengenezwa mara nyingi machine language zinatabia yakubehave tofauti kutokana nakua na sdk tofauti tofauti kwa concept ya swali lako kiuhalisia linawezekana kwakua programmers hua ni watu wakutokubali kushindwa kirahisi na hili wazo aliwahi kulizungumzia mshkaj wangu mmoja alipokua amenunua umeme lakin cha ajabu ilimlazimu ashuke kutoka gorofa ya tano mpka chini kwaajili yakuingiza namba na kutokana na uvivu ikambidi afikirie wazo hilo me nadhani kma kutakua na big fish mwenye kuona fursa hiyo anaweza kujiongeza
 
Back
Top Bottom