Hivi Tanzania hawana ndege ya Rais?

The late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwise
Mwenda aliwapa ATCL ile Fokker ya zamani lkn Gulf stream iliyonunuliwa wakati wa Mkapa bado ipo na inatumiwa kwa matumizi ya ofisi ya Rais.
 
Mambo ya ndege ya rais ni ya mataifa yenye uchumi bora, wenzetu Kusini siku wakifika huko watakua nayo pia....hehehehe
 
Delegation kubwa kwa nchi zetu za kiafrika ni njia tuu za kula pesa za serikali.
Hivi hiyo delegation ya akina Rostam aliyokuja nayo Rais Samia ilikuwa ya Kula pesa za serikali?
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Huo ushahidi aliuweka wapi? Kwanza hujanijuza kama alikua mwanamama au mzee?
 
The late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwise
See this another ignorant emotional incompetent fool, which presidential jet you are referring here. ?
 
Okay pole, kwaiyo tukusaidiaje?
 
To amuse and make a ndaganyiass face happy while discussing about the flight her excellence used to travel to Kenya.
When a ndaganyiass says ndege, interject and in low tone voice tell him ' la ilo ndunde ni dreamliner bana'
 
Hio imeshachakaa, tunamnunulia Mpia ya kisasa na salama zaidi.
 
Ile ndege inahitilaf kidogo ya kuzima zima angan!! Japo inatumika lakin ipo[emoji23]
 
Kuna makundi kadhaa ya watu wa hivyo:
1. Wapigaji wa makontena bandarini
2. Wapiga vipusa vya wanyama wa mwituni.
3. Wauza madawa ya kulevya
4. Mashoga
5. Vyeti feki
.
.
.
Orodha ni ndefu.
Sasa muulize KISIWAGA huyo yeye yuko kundi gani?
Huyo hayati wenu kwa sasa analiwa na mchwa kama kawa pamoja ya kutaka watu waishi kwa kumsujudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…