Hivi Tanzania hawana ndege ya Rais?

Hivi Tanzania hawana ndege ya Rais?

The late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwise
Mwenda aliwapa ATCL ile Fokker ya zamani lkn Gulf stream iliyonunuliwa wakati wa Mkapa bado ipo na inatumiwa kwa matumizi ya ofisi ya Rais.
 
Mambo ya ndege ya rais ni ya mataifa yenye uchumi bora, wenzetu Kusini siku wakifika huko watakua nayo pia....hehehehe
 
Delegation kubwa kwa nchi zetu za kiafrika ni njia tuu za kula pesa za serikali.
Hivi hiyo delegation ya akina Rostam aliyokuja nayo Rais Samia ilikuwa ya Kula pesa za serikali?
 
Weee alipotea siku 2 baada ya kuja na ushahidi konki kuwa magu hana phd na alilalamika wiki kabla kuwa wasiojulikana waliopotea baada kufilia mbali mbwa.unataka nikuletee ushahid wa phd fake?alikuwa anamjua hadi mulaga ndo asimjue chuma bensaanane mungu afariji familia yake
😅😅😅😅 Huo ushahidi aliuweka wapi? Kwanza hujanijuza kama alikua mwanamama au mzee?
 
The late mwendazake made the presidential jet part of ATCL and started using the commercial ATCL Airbus plane for his own and so like her predecessor Samia does not and hasn't yet thought outside the box otherwise
See this another ignorant emotional incompetent fool, which presidential jet you are referring here. ?
 
Weee alipotea siku 2 baada ya kuja na ushahidi konki kuwa magu hana phd na alilalamika wiki kabla kuwa wasiojulikana waliopotea baada kufilia mbali mbwa.unataka nikuletee ushahid wa phd fake?alikuwa anamjua hadi mulaga ndo asimjue chuma bensaanane mungu afariji familia yake
Okay pole, kwaiyo tukusaidiaje?
 
To amuse and make a ndaganyiass face happy while discussing about the flight her excellence used to travel to Kenya.
When a ndaganyiass says ndege, interject and in low tone voice tell him ' la ilo ndunde ni dreamliner bana'
 
Kuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
Hio imeshachakaa, tunamnunulia Mpia ya kisasa na salama zaidi.
 
Ile ndege inahitilaf kidogo ya kuzima zima angan!! Japo inatumika lakin ipo[emoji23]
 
Kuna makundi kadhaa ya watu wa hivyo:
1. Wapigaji wa makontena bandarini
2. Wapiga vipusa vya wanyama wa mwituni.
3. Wauza madawa ya kulevya
4. Mashoga
5. Vyeti feki
.
.
.
Orodha ni ndefu.
Sasa muulize KISIWAGA huyo yeye yuko kundi gani?
Huyo hayati wenu kwa sasa analiwa na mchwa kama kawa pamoja ya kutaka watu waishi kwa kumsujudu
 
Back
Top Bottom