Hivi Tanzania hawana ndege ya Rais?

Sasa wakenya mnatakaje!? Njooni sasa tuzichape. πŸ‘ŠπŸ€Ί
 
Mkimalizana na issue za kunya ndio mje kuongelea ndege ya Rais wa TZ
 
Kuna makundi kadhaa ya watu wa hivyo:
1. Wapigaji wa makontena bandarini
2. Wapiga vipusa vya wanyama wa mwituni.
3. Wauza madawa ya kulevya
4. Mashoga
5. Vyeti feki
.
.
.
Orodha ni ndefu.
Sasa muulize KISIWAGA huyo yeye yuko kundi gani?
Tatizo utakuta wenye upeo km huo wako wote ni Mataga[emoji23][emoji23]

Sasa hapo sijui wanajikutaje vile, unalishwa maneno na mwenda zake ya kwamba wanaosema wote maisha magumu ni wapigaji basi na nyie mnauendeleza wimbo.

MATAGA bana
 
Kwa nini asichukiwe kaua kaka yangu unataka nimpende .
Pole sana kwa msiba
Magu alikua shetani walai. May his soul never find peace and may he be tormented in Hell fires for eternity Amen!
 
Kwa nini asisemwe vibaya na hadharani? Jambo ambalo ni vigumu kulizuia.

Pia kitendo cha kukataza watu wamseme ndio mnachochea asemwe.
ukiskia mtu anakwambia wewe mpumbavu,au huna akili maana yake kakupima kwenye mambo ya kawaida kabisa na umefeli.

mwezi wa pili toka jpm afariki,bado mtu amembebea mimba yake.

na ni humi tu ndio kumejaa makahaba wa kufikiri.
 
Sema poleni watanzania maana kaua wengi sana, fikiria bensaanane angekuwa mwanao wa kumzaa unge tamka tusimchukie marehemu, kafilisi watu huyu sana
Labda kama wazazi wake walimtuma afanye harakati zile.

Kwa mzazi makini na mwenye mapenzi mema na mwanae huchukia sana kijana wake anapoanza vita na watu wenye nguvu.

Mfano mdude leo hii mpaka anaombewa michango,unadhani hana ndugu!
 
Hizi ni ndege mpya zenye uhakika wa safari na kutangaza shirikia letu nje ya nchi. ndege zetu zinatuletea heshima kubwa sana. hakuwa peke yake kwenye ndege bali walinzi wake pamoja na wafanya biashara na waziri.
 
Acheni mama atumie ndege mpya hayo ya miaka 20 nyuma hayana uhakika na safari yamesha choka kila sehemu lisije likazimikia angani, tutampata wapi mtu kama mama alie fungua mipaka saivi tunauza mahindi na ng'ombe
 
Tatizo utakuta wenye upeo km huo wako wote ni Mataga[emoji23][emoji23]
Sasa hapo sijui wanajikutaje vile, unalishwa maneno na mwenda zake ya kwamba wanaosema wote maisha magumu ni wapigaji basi na nyie mnauendeleza wimbo..
MATAGA bana

Wee binti, haya mambo ni ya ukweni. Hayakuhusu.
 
Wakuu Nina Swali la kichokozi. Hivi ndege za ATC zinazotumika kwa safari za Dodoma au kupitia Dodoma ni hizi pia kubwa au ndogo tu?

Nauliza hivyo kwa sababu Rais ana ndege yake. Kama safari zake za ndani au hata za nje ya nchi ndege za ATC zitatumika kwa madhumuni ya ziara yake pekee, kwa maoni yangu, matumizi hayo yataibua maswali; hususani kutoka kwa CAG.
 
Airforce One ya Marekani ipo tangu miaka ya 1970s hadi leo. Ile helicopter Marine One ukiiona hata sasa unaona kabisa imezeeka. Ndege zinakaa miaka 40 kwa uzuri kabisa
 
MKUU lakini Kuna kipindi walisema dude tajwa gharama zake za uendeshaji zilikua juu KWA kubugia Sana mafuta
 
Mbona kenyatta alivyo enda congo alipanda KQ ? Mbona alivyo enda USA alipanda KQ ...mkenya gani zazwa ivi
 
Labda kama wazazi wake walimtuma afanye harakati zile.

Kwa mzazi makini na mwenye mapenzi mema na mwanae huchukia sana kijana wake anapoanza vita na watu wenye nguvu.

Mfano mdude leo hii mpaka anaombewa michango,unadhani hana ndugu!
Umeona unavyo waza kwa hiyo unawaambiaje wazazi wa nyerere mandela na cheguavala .wenye nguvu ndo kina nani ? Nimejikaza sana kukutukana au hujui magu ni moja ya waanzilishi wa nccr mageuz
 
Umeona unavyo waza kwa hiyo unawaambiaje wazazi wa nyerere mandela na cheguavala .wenye nguvu ndo kina nani ? Nimejikaza sana kukutukana au hujui magu ni moja ya waanzilishi wa nccr mageuz
unamlinganisha nyerere,mandera,che na upuuzi wa kuitwa mdude au huyo jamaa mwingine!!!!

kama hao watajwa wangekosa adabu kiasi hicho tusingepata uhuru miaka hiyo.

hoja zina nguvu ya kuangusha majabali.
 
Mh Raisi Magufuli aliirudisha kwa ATCL ikapakwa na rangi upya nafikiri ndio ile iliyoleta mzozo wa kwenda kupakwa rangi South Africa kama sikosei 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…