Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Sasa wakenya mnatakaje!? Njooni sasa tuzichape. 👊🤺
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo utakuta wenye upeo km huo wako wote ni Mataga[emoji23][emoji23]Kuna makundi kadhaa ya watu wa hivyo:
1. Wapigaji wa makontena bandarini
2. Wapiga vipusa vya wanyama wa mwituni.
3. Wauza madawa ya kulevya
4. Mashoga
5. Vyeti feki
.
.
.
Orodha ni ndefu.
Sasa muulize KISIWAGA huyo yeye yuko kundi gani?
Pole sana kwa msibaKwa nini asichukiwe kaua kaka yangu unataka nimpende .
ukiskia mtu anakwambia wewe mpumbavu,au huna akili maana yake kakupima kwenye mambo ya kawaida kabisa na umefeli.Kwa nini asisemwe vibaya na hadharani? Jambo ambalo ni vigumu kulizuia.
Pia kitendo cha kukataza watu wamseme ndio mnachochea asemwe.
Labda kama wazazi wake walimtuma afanye harakati zile.Sema poleni watanzania maana kaua wengi sana, fikiria bensaanane angekuwa mwanao wa kumzaa unge tamka tusimchukie marehemu, kafilisi watu huyu sana
Tatizo utakuta wenye upeo km huo wako wote ni Mataga[emoji23][emoji23]
Sasa hapo sijui wanajikutaje vile, unalishwa maneno na mwenda zake ya kwamba wanaosema wote maisha magumu ni wapigaji basi na nyie mnauendeleza wimbo..
MATAGA bana
Hahahahahahahahahahahaha..........Huwezi kumchukia mpaka marehemu
Airforce One ya Marekani ipo tangu miaka ya 1970s hadi leo. Ile helicopter Marine One ukiiona hata sasa unaona kabisa imezeeka. Ndege zinakaa miaka 40 kwa uzuri kabisaKuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
[emoji3][emoji3][emoji3]daaah nimecheka kinyama hii pichaHili lenu waga wanalifunga mpaka na makomeo with at least 10 heavyweight manpower some must be militiamen [emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 1775683
MKUU lakini Kuna kipindi walisema dude tajwa gharama zake za uendeshaji zilikua juu KWA kubugia Sana mafutaKuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
Umeona unavyo waza kwa hiyo unawaambiaje wazazi wa nyerere mandela na cheguavala .wenye nguvu ndo kina nani ? Nimejikaza sana kukutukana au hujui magu ni moja ya waanzilishi wa nccr mageuzLabda kama wazazi wake walimtuma afanye harakati zile.
Kwa mzazi makini na mwenye mapenzi mema na mwanae huchukia sana kijana wake anapoanza vita na watu wenye nguvu.
Mfano mdude leo hii mpaka anaombewa michango,unadhani hana ndugu!
Kaua Watanzania gani hao
Vita vinaanzia kudharauliana .hakuna aliejuu ya mwingine ukilazimisha inabidi tuingie kuthibitisha😅😅😅😅 Huo ushahidi aliuweka wapi? Kwanza hujanijuza kama alikua mwanamama au mzee?
unamlinganisha nyerere,mandera,che na upuuzi wa kuitwa mdude au huyo jamaa mwingine!!!!Umeona unavyo waza kwa hiyo unawaambiaje wazazi wa nyerere mandela na cheguavala .wenye nguvu ndo kina nani ? Nimejikaza sana kukutukana au hujui magu ni moja ya waanzilishi wa nccr mageuz
Mh Raisi Magufuli aliirudisha kwa ATCL ikapakwa na rangi upya nafikiri ndio ile iliyoleta mzozo wa kwenda kupakwa rangi South Africa kama sikosei 0Kuna ndege alinunua marehemu Mkapa (RIP) wakati huo Mramba akiwa waziri wa fedha,mzee Mramba alitoa kauli tata eti (watanzania watakula majani lakini ndege ya rais itanunuliwa). Mpaka JK alikuwa anaitumia. Humu kwenye awamu ya 5 ikawa haionekani,au marehemu hakuiamini na huyu haiamini, ila ilikuwa ndege classic , ni jet nzuri tu. Au 20years old ni mtuumba rais hawezi kuitumia? Kama haijafa ipo.
Ila ana ndege yake Rasmi, sio kila mara anatumia hiyo KQ.Mbona kenyatta alivyo enda congo alipanda KQ ? Mbona alivyo enda USA alipanda KQ ...mkenya gani zazwa iviView attachment 1776482