Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
- Thread starter
- #21
Kuna watu wanaishi nyuma ya ule mlima?
Utatokea nchi hiihii ya tz... Moro hiyohiyo...Ila kuna jamaa alituambia eti kuna upande wa mlima ukivuka upande wa pili unatokea mjini halafu distance yake ni fupi sema kikwazo ni mlima tu... Ndo tulitaka tujue kama ni kweli au cheche coz ukiwa town unauona mlima vzr tu.