Hivi Tanzania kuna watu poa kama wazaramo? Ukiishi na wazaramo huwezi kuishi na kabila jingine lolote lile

Ni kweli utafiti wako ni sahihi, ndugu zetu hawa kwa asilimia kubwa ni watu waliojaa ukarimu na mapenzi kwa wageni.
 

Vipi na sisi wandengereko?
 

Kwaiyo umeenda ununio kumalizia hela kisa umepata pakulala for life?
 
Ongezea wana mdomo mrefu
Wavivu kufanya kazi.
WAnadinyanyana bila nidhamu..
Wanabadilishana wanaume na wanawake kwa ile falsafa yao ya mafiga 3.

Ngoma sasa kila wiki kanga mpya ya ngomani.

Wana milo miwili...chai saa 9 jioni na ugali saa 2 usiku imetoka hiyoo
 
Nimeishi nao sana. Wako poa na ni wakarimu sana.

Mzee Mmoja hadi tulikuwa kama ndugu na wala siwajui na hawanijui.

Shida yao moja ni wachafu.

Yaani Nyumba yao kwanza ina jaa watu kibao unakuta nyumba ya Baba mmoja ina watu kama 20.

Nguo, ndoo, vyombo, magodoro na mazaga kibao wanatupa tupa.

Kwao utajiri ni jambo halipewi kipaumbele.

Wanajali utu na sio mali.
Wakiwa na ndugu mwenye Tatizo wanamchangia pamoja na umaskini na unyonge wao.

Hawasubiri Mtu afe kwa kukosa dawa ndio wachangie jeneza la mamilioni kama Makabila mengine.

Wakati naanza Maisha huko Mbagala Mvuti nilianza nao.

Kwenye swala la mapenzi mimi sikuwa na bahati nao na sikuwahi kujihusisha kabisa na mahusiano ya wanawake wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…