Hivi Tanzania kuna watu poa kama wazaramo? Ukiishi na wazaramo huwezi kuishi na kabila jingine lolote lile

Hivi Tanzania kuna watu poa kama wazaramo? Ukiishi na wazaramo huwezi kuishi na kabila jingine lolote lile

Ni kweli, nakumbuka Kuna siku nimeingia dar nikajisemea safari hii sifikii Kwa ndugu zangu....siku ya kwanza nikalala lodge (jasho likaanza nitoka pesa ya kikuda nilikuwa nayo) ...nikampigia simu dogo Fulani tulifamiana through Facebook...tegeta bees ndiyo nikalala kwake siku zilizosalia....tukamalizia ununio bch tupesa tulitobakia😋....wazaramo ni wema Kwa kweli🙏
 
Wazaramo hawa hawa muda wote wanawaza kucheza ngoma? Wanawaza vigodoro? Oa mmoja uone 😀
Nina mademu kibao tu wazaramo tena kutoka Msanga sokoni sio Zalala.

Hiyo kwenda ngomani wala sio ishu kwa wanaume wa kizaramo. Uzaramuni kuna ngoma za kizaramo wanaume hufundishwa. Ukiweza kumaster hizo ngoma basi mwanamke hawezi kuwa tatizo kwako kitandani.. kwa mwanaume wa kizaramo kuruhusu mkewe aende ngomani wala sio tatizo kwake
 
Nina mademu kibao tu wazaramo tena kutoka Msanga sokoni sio Zalala.

Hiyo kwenda ngomani wala sio ishu kwa wanaume wa kizaramo. Uzaramuni kuna ngoma za kizaramo wanaume hufundishwa. Ukiweza kumaster hizo ngoma basi mwanamke hawezi kuwa tatizo kwako kitandani.. kwa mwanaume wa kizaramo kuruhusu mkewe aende ngomani wala sio tatizo kwake
Kama nawewe ni mzaramo basi ni sahihi kwako
 
Nimetembea Tanzania nzima bara n.a. visiwani ila sijaona watu poa kama wajomba zangu wazaramo.

Wana upendo wa hali ya juu. Wanawaheshimu watu wote bila kujali dini zao, makabila yao, wanatoka wapi etc.

They mind their own business.

They never snitch wala hawamshangai shangai mtu hata kama ana life style tofauti na ya kwao.

Wana upendo. They are generous. Wakarimu kwa wageni. They are generally happy etc.


Wazaramo wako poa sana.

Hakuna watu poa kama wazaramo.

Ukiishi na wazaramo kwa muda mrefu unaweza ukashindwa kuishi na watu wa makabila mengine kwa sababu wazaramo wana weza kumtolerate n.a. kumchukulia mtu wa aina yoyote ile jambo ambalo watu wengine hawawezi...


Wazaramo oyeee

Wahehe/wabena oyee!

Nimewataja wabena na wahehe kwa sababu nimewahi kusimuliwa na wazee wa kizaramo kwamba asili ya wazaramo ni iringa kwenye moo za wabena na wahehe. Wakati wanakuja walipita milima.ya uluguru wakaitwa waluguru then wengine wakaja mzizima ndo hao wanaitwa wazaramo..
Mimi naona hakuna mtu ambaye ni perfect na Kama hakuna mtu ambaye ni perfect bhas ujue hakuna kabila ambalo ni perfect,vile vile hakuna anayekosa mazuri yake,lakin ukisikie mtu anamwambia mwenzake we mzur Sana maana yake anakufaidi kiasi kwamba amebidi akwambie wewe ni mzur
 
Nimetembea Tanzania nzima bara n.a. visiwani ila sijaona watu poa kama wajomba zangu wazaramo.

Wana upendo wa hali ya juu. Wanawaheshimu watu wote bila kujali dini zao, makabila yao, wanatoka wapi etc.

They mind their own business.

They never snitch wala hawamshangai shangai mtu hata kama ana life style tofauti na ya kwao.

Wana upendo. They are generous. Wakarimu kwa wageni. They are generally happy etc.


Wazaramo wako poa sana.

Hakuna watu poa kama wazaramo.

Ukiishi na wazaramo kwa muda mrefu unaweza ukashindwa kuishi na watu wa makabila mengine kwa sababu wazaramo wana weza kumtolerate n.a. kumchukulia mtu wa aina yoyote ile jambo ambalo watu wengine hawawezi...


Wazaramo oyeee

Wahehe/wabena oyee!

Nimewataja wabena na wahehe kwa sababu nimewahi kusimuliwa na wazee wa kizaramo kwamba asili ya wazaramo ni iringa kwenye moo za wabena na wahehe. Wakati wanakuja walipita milima.ya uluguru wakaitwa waluguru then wengine wakaja mzizima ndo hao wanaitwa wazaramo..
Bila picha mkuu?
 
Nimetembea Tanzania nzima bara n.a. visiwani ila sijaona watu poa kama wajomba zangu wazaramo.

Wana upendo wa hali ya juu. Wanawaheshimu watu wote bila kujali dini zao, makabila yao, wanatoka wapi etc.

They mind their own business.

They never snitch wala hawamshangai shangai mtu hata kama ana life style tofauti na ya kwao.

Wana upendo. They are generous. Wakarimu kwa wageni. They are generally happy etc.


Wazaramo wako poa sana.

Hakuna watu poa kama wazaramo.

Ukiishi na wazaramo kwa muda mrefu unaweza ukashindwa kuishi na watu wa makabila mengine kwa sababu wazaramo wana weza kumtolerate n.a. kumchukulia mtu wa aina yoyote ile jambo ambalo watu wengine hawawezi...


Wazaramo oyeee

Wahehe/wabena oyee!

Nimewataja wabena na wahehe kwa sababu nimewahi kusimuliwa na wazee wa kizaramo kwamba asili ya wazaramo ni iringa kwenye moo za wabena na wahehe. Wakati wanakuja walipita milima.ya uluguru wakaitwa waluguru then wengine wakaja mzizima ndo hao wanaitwa wazaramo..
Wangekuwa wakristo wangekuwa poa zaidi. Tatizo dini ya mwarabu.

adriz Accumen Mo darcity
 
Duh! umeshapiga Cannabis nini ?
Sijui umejuaje asee yani iyo ni kama kunya lazima. Halafu leo nimeipiga kwa fujo puff za kutosha kwasababu mchana tuligombana na demu wangu.

Tuachane na hayo. Ni hivi hata makabila kwaanzia wazaramo, wakwere,wandingo, ndengereko, wamatumbi na kushuka huko kusini jamiii za kimakonde wamwera, makua etc wote wangekuwa wagalatia wangekuwa poa zaidi. Tatizo dini ya mwarabu.

Magonjwa Mtambuka
 
Back
Top Bottom