Aaaah pongezii kwenu karibuni kaskazini uko[emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Nlkuwa Shaban Robert [emoji1787][emoji1787]...... UboyzniiFala Sana ww mtoto wa mzee sanga
Watoto wa Lumumba, agrey, gwanta, Shaban Robert & Mkapa
Ila tuko peace Sana arifuKaskazini madogo wenu wanazingua sana wanabadili kiswahili
Ngoja waje wakuite mzaramo.Mi sio mzaramo ila wazaramo ndo wameifungua tanzania just imagine dar ingekua yawasukuma nzengo ingekua kila kona, kisukuma kingeongelewa had mliman city, ng'ombe wangekua wanazagaa had kariakoo[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani JK ni Mzaramo? After all JK ni mtu mnafiki sana anacheka cheka utadhani anakufurahia kumbe akipata muda mwafaka anakuchomoa battery
Hawa watu ni wanafiki sana na si watu poa kama udhaniavyo.Nimetembea Tanzania nzima bara n.a. visiwani ila sijaona watu poa kama wajomba zangu wazaramo.
Wana upendo wa hali ya juu. Wanawaheshimu watu wote bila kujali dini zao, makabila yao, wanatoka wapi etc.
They mind their own business.
They never snitch wala hawamshangai shangai mtu hata kama ana life style tofauti na ya kwao.
Wana upendo. They are generous. Wakarimu kwa wageni. They are generally happy etc.
Wazaramo wako poa sana.
Hakuna watu poa kama wazaramo.
Ukiishi na wazaramo kwa muda mrefu unaweza ukashindwa kuishi na watu wa makabila mengine kwa sababu wazaramo wana weza kumtolerate n.a. kumchukulia mtu wa aina yoyote ile jambo ambalo watu wengine hawawezi.
Wazaramo oyeee
Wahehe/wabena oyee!
Nimewataja wabena na wahehe kwa sababu nimewahi kusimuliwa na wazee wa kizaramo kwamba asili ya wazaramo ni iringa kwenye moo za wabena na wahehe. Wakati wanakuja walipita milima ya uluguru wakaitwa waluguru then wengine wakaja mzizima ndo hao wanaitwa wazaramo..
Sio udini hapa ila ndio asili
"sisi wazaramo Bora utuue kuliko kuwa mkristo[emoji16]"
kwetu ukiwekwa gari picha ya yesu hupati abiria utasikia kaweka picha ya mkristo [emoji16][emoji16][emoji16]
Stori za Kijijini kwenu hizi sio za mjiniMkuu sipingi kabisa kuhusu hili ni watu poa sana pia sio watu wa ugomvi sema midingi ya huko ni mivivu hatari sana!
Pia Kwa utelezi wapo poa snaaaa!!
Tulikuwa na kasumba tukisikia mwali Kwa fln tunaenda na mchele hata kg4 na sukari ewaaaah Kwa kurudi husindikizwi na mwanaume anachaguliwa binti kulingana na umri wako.wazaramo mbarikiwe sio Kwa ukarimu huo. Ingia usukumani kaka mtu akukute umesimama na dada yake halfu uwe wa kuja asee kama hutaavha mguu basi kimbia sana
Hakuna duplication za majina kama kabila za mikoaniDaaah hadi sasa sijui kama nimeshawahi kuwa na rafiki au nina rafiki mzaramo.
Koo zao sio maarufu sana kama Wachaga na Wahaya etc
Unalazimisha kuwa Mdar es salaam. Ni kawaida Kwa wanaoona aibu kusema makwao wataonekana washamba au wivu kusema hivi. Asili haikopwi.Wazaramo wanapatikana wapi mana hapa mzizima hatuwaoni.
Mtoto zai alinihifadhi wakati wa dhiki.
Asante mkuu tutawasiliana DMChutney, pickle, hii Ina ladha ya uchachu kwa ajili ya kutia hamu ya kula, inaliwa Kama kachumbali au chachandu, Kuna siku nikija dodoma nitakuletea uje kuonja nzunguni nitafikia.
Hivi kizaramo si ndio kiswahili hiki hiki[emoji1]Ukiishi nawasukuma utakua bored wao muda wote wanaongea kisukuma hawajali mgeni ukija uzaramoni kama kizaramo wataongea wakiwa pekeao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamuulize SAS.
Kizaramo [emoji116]Hivi kizaramo si ndio kiswahili hiki hiki[emoji1]
Utelezi gani chief?Sio wachoyo wa utelez pia
Karibu.Asante mkuu tutawasiliana DM
Utelezi gani chief?
Au maswala flani ya mfereji maringo?Mtaa una terminology zake mzee
😂😂Au maswala flani ya mfereji maringo?