Colombia tena...Katika nchi zote za Latin America Argentina haina uhuni mwingi. Pale Bogota Colombia hapana aisee, siku 14 nilizokaa pale ilikuwa kama mwaka. Africa hakuna wahuni na watemi wanaigiza tu
Cartagena na Medellin miji ya Colombia kuna watoto wakali sanaKatika nchi zote za Latin America Argentina haina uhuni mwingi. Pale Bogota Colombia hapana aisee, siku 14 nilizokaa pale ilikuwa kama mwaka. Africa hakuna wahuni na watemi wanaigiza tu
Spanish au kihispania.Mexico wanaongea Spain, lakini haipo Latin America wao ni Central Amerika. Sikuona msikiti Colombia
Argentina ni ya Wazungu, hakuna latino na blacks,Katika nchi zote za Latin America Argentina haina uhuni mwingi. Pale Bogota Colombia hapana aisee, siku 14 nilizokaa pale ilikuwa kama mwaka. Africa hakuna wahuni na watemi wanaigiza tu
Huko Brazil balozi atakua anasoma magazeti na kucheza game tu, hakuna ishuRula Inancio da Silva rais wa brazil aliwahi kuja tanzani na akawa mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonyesho ya kimataifa ya biashara za nje maarufu kama maonesho ya sabasaba jijini dar es salaam. Hizo nchi za amerika ya kusini ubalozi wa tanzania ulioko brazil utakuwa unashughulika nazo. Kule amerika ya kati nchini cuba kutakuwa na ubalozi wa tanzania ambao nao utakuwa unashughulika na nchi za eneo hilo. Kuna nchi nyingi tu tanzania haina ubalozi nazo ila balozi za tanzania zilizo jirani na nchi zitakuwa zinashughulikia mambo ya kidiplomasia kama kuna umuhimu. Hata bara la asia kuna nchi nyingi hazina ubalozi wa tanzania
Na wenyewe ni chawa mingi tu kama Afrika.Kipofu aombe kuvushwa mtaro na kipofu mwenye ukiwete?Huwa najiuliza marais wa Africa ikiwemo Tanzania hatuna uhusiano na nchi za Latin America?(America Kusini). Nakumbuka Jakaya Kikwete aliwahi tembelea Brazil lakini sio nchi kama Paraguay, Colombia, Argentina, Ecuador, Venezuela, Chile na nyinginezo.
Na pia marais wa huko ni kama hawana time na Africa. Tatizo nini? Ubalozi tunao pale Brazil ambako nimewahi kufika.
Nilifika Colombia wanaijua South Africa zaidi, Tanzania wengi wao hawaijui angalau Kenya na Rwanda wanaijua. Marekani ndio kama katawala magari yao mengi yanatoka USA kama ilivyo Mashariki ya kati kwa nchi ya Lebanon kukuta Toyota ni nadra sana. Shida ni nini?
Latin America ukiingalia vertically,ni Afrika kwa asilimia 83!Sikuwa Mexico ile sio Latin America ingawa wanaongea Spain. Ila Latin America kuna wanawake wazuri sana na wana matako kama Africa
Tanzania ni nchi masikini sana. Kuweka balozi nchi zote duniani haiwezekani na ni gharama mno.Nchi kama ice land, uzbekhistan, tajikistan, mongolia na brunei sijawahi kusikia balozi wa tanzania huko. Kuna sababu ya kujua ni kwa nini hatuna ubalozi huko wakati hizo nchi zina fursa ya kibiashara
Nilisikia kuna yule jamaa Pablo Escobar muuza ngada billionaire inasemekana alikuwa anatumia baadhi ya utajiri wake kujenga miundombinu nchini mwake, hivyo wananchi walimpenda japo kuwa alikuwa katili ile mbaya.Zile nchi Marekani ndo kila kitu. Mimi nazaliwa Keko niliiona Shell pale mnazi mmoja. Kule Shell ndo kila kitu kwenye vituo vya mafuta. Wametuzidi miundo mbinu sisi bado sana. Ila zile muvi za kihuni za Marekani kule ndo maisha hasili
Wabaguzi sana waagentinaArgentina ni ya Wazungu, hakuna latino na blacks,