Hivi Tanzania na Africa hatuna uhusiano na Latin America?

Hivi Tanzania na Africa hatuna uhusiano na Latin America?

Katika nchi zote za Latin America Argentina haina uhuni mwingi. Pale Bogota Colombia hapana aisee, siku 14 nilizokaa pale ilikuwa kama mwaka. Africa hakuna wahuni na watemi wanaigiza tu
Colombia tena...

Hiyo brazil yenyewe kuna uhuni bongo hakuna, nishakaa rio na Sao
Kipindi fulani nyuma...

Ova
 
Katika nchi zote za Latin America Argentina haina uhuni mwingi. Pale Bogota Colombia hapana aisee, siku 14 nilizokaa pale ilikuwa kama mwaka. Africa hakuna wahuni na watemi wanaigiza tu
Cartagena na Medellin miji ya Colombia kuna watoto wakali sana
 
Katika nchi zote za Latin America Argentina haina uhuni mwingi. Pale Bogota Colombia hapana aisee, siku 14 nilizokaa pale ilikuwa kama mwaka. Africa hakuna wahuni na watemi wanaigiza tu
Argentina ni ya Wazungu, hakuna latino na blacks,
 
Rula Inancio da Silva rais wa brazil aliwahi kuja tanzani na akawa mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonyesho ya kimataifa ya biashara za nje maarufu kama maonesho ya sabasaba jijini dar es salaam. Hizo nchi za amerika ya kusini ubalozi wa tanzania ulioko brazil utakuwa unashughulika nazo. Kule amerika ya kati nchini cuba kutakuwa na ubalozi wa tanzania ambao nao utakuwa unashughulika na nchi za eneo hilo. Kuna nchi nyingi tu tanzania haina ubalozi nazo ila balozi za tanzania zilizo jirani na nchi zitakuwa zinashughulikia mambo ya kidiplomasia kama kuna umuhimu. Hata bara la asia kuna nchi nyingi hazina ubalozi wa tanzania
Huko Brazil balozi atakua anasoma magazeti na kucheza game tu, hakuna ishu
 
Huwa najiuliza marais wa Africa ikiwemo Tanzania hatuna uhusiano na nchi za Latin America?(America Kusini). Nakumbuka Jakaya Kikwete aliwahi tembelea Brazil lakini sio nchi kama Paraguay, Colombia, Argentina, Ecuador, Venezuela, Chile na nyinginezo.

Na pia marais wa huko ni kama hawana time na Africa. Tatizo nini? Ubalozi tunao pale Brazil ambako nimewahi kufika.

Nilifika Colombia wanaijua South Africa zaidi, Tanzania wengi wao hawaijui angalau Kenya na Rwanda wanaijua. Marekani ndio kama katawala magari yao mengi yanatoka USA kama ilivyo Mashariki ya kati kwa nchi ya Lebanon kukuta Toyota ni nadra sana. Shida ni nini?
Na wenyewe ni chawa mingi tu kama Afrika.Kipofu aombe kuvushwa mtaro na kipofu mwenye ukiwete?
 
Nchi kama ice land, uzbekhistan, tajikistan, mongolia na brunei sijawahi kusikia balozi wa tanzania huko. Kuna sababu ya kujua ni kwa nini hatuna ubalozi huko wakati hizo nchi zina fursa ya kibiashara
 
Nchi kama ice land, uzbekhistan, tajikistan, mongolia na brunei sijawahi kusikia balozi wa tanzania huko. Kuna sababu ya kujua ni kwa nini hatuna ubalozi huko wakati hizo nchi zina fursa ya kibiashara
Tanzania ni nchi masikini sana. Kuweka balozi nchi zote duniani haiwezekani na ni gharama mno.

Marekani ndo anaongoza kwa kuwa na balozi nyingi na hazipo kila nchi.

Na kuna nchi kwa mwaka mzima unaweza kuta kuna watanzania hata 10 hawafiki kutembelea.

Unaweka balozi za kazi gani.?
 
Zile nchi Marekani ndo kila kitu. Mimi nazaliwa Keko niliiona Shell pale mnazi mmoja. Kule Shell ndo kila kitu kwenye vituo vya mafuta. Wametuzidi miundo mbinu sisi bado sana. Ila zile muvi za kihuni za Marekani kule ndo maisha hasili
Nilisikia kuna yule jamaa Pablo Escobar muuza ngada billionaire inasemekana alikuwa anatumia baadhi ya utajiri wake kujenga miundombinu nchini mwake, hivyo wananchi walimpenda japo kuwa alikuwa katili ile mbaya.

Marekani hawakumpenda hata kidogo kutokana na kuwa wahanga wakubwa wa biashara zake.
 
Back
Top Bottom