Hivi TANZANIA tuna Air defence system ya aina gani?

Hivi TANZANIA tuna Air defence system ya aina gani?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Poleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
 
Poleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
Uambiwe ili iweje wakati ndio siri kubwa kuliko zote ndani ya nchi hii
 
Poleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
Unataka nchi ianike siri ili maadui zetu watuvamie?
 
Ipo bro. Tanzania Airforce Command, tokea mwaka 64.
D0DC65A3-D25B-4A14-B267-C43E250A35B8.png

Ukonga, Mwanza na Nyerengere Air Bases.

Tuna fighters, chopper, trainer na transpoter.
Kama unaangaliaga uhuru day zile ni trainer zile jet ndege zinapita kibati. Mfano Shenyang na Chengdu.

Mfano wa Fighters tulionayo ni Chengdu J7 ambayo ni fighter jet ya 3rd generation.

E4A38BE7-632E-4F2A-B6BF-E7657E5A6B38.jpeg


Nyingine hatuoneshwi kwa sababu za kiusalama lakini tupo vizuri sana mzee baba.
 
Ipo bro. Tanzania Airforce Command, tokea mwaka 64.
View attachment 2134180
Ukonga, Mwanza na Nyerengere Air Bases.

Tuna fighters, chopper, trainer na transpoter.
Kama unaangaliaga uhuru day zile ni trainer zile jet ndege zinapita kibati. Mfano Shenyang na Chengdu.

Mfano wa Fighters tulionayo ni Chengdu J7 ambayo ni fighter jet ya 3rd generation.

View attachment 2134181

Nyingine hatuoneshwi kwa sababu za kiusalama lakini tupo vizuri sana mzee baba.
Air defence system sio air force.
 
Poleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
nafikiri ni swali kwa homeboy luteni denis urio popote alipo majibu tafadhali
 
Atakaekupa hio siri kiundani zaidi basi atafute pa kuishi 🤣.
 
Back
Top Bottom